Ungeandika tu kwa kiswahili hata hivyo umejitahidi sana.Generally speaking watanzania kingereza kinatupa tabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli huyu mama ana kipaji mno nyimbo zake zina mvuto mnoNkyali muto ni kali mno ile ngoma na video yake yule mdada ile miguu .....aisee
Ukisikiliza na ukaelewa nyimbo zake za zamani huwezi kushindwa kumtongoza mwanamke kwa kutumia mistari ile akachomoka
Alijua kupamba mwanamke sijui nani alikuwa anamtungia.....nimemiss sana zile ladha jamani
Kuna nyingine inaitwa Jane ....haukuwika lakini wimbo mtamu sana ule
Kizunguzungu huo ulikuwa wimbo wa taifa nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli huyu mama ana kipaji mno nyimbo zake zina mvuto mno
Nyimbo zake huwa nikisikiliza sizichoki japo kihaya sielewi
Ungekielewa ungezipenda zaidi,,, nyimbo zake nyingi ni mapenzi aina flani ya mitongozo na kumpamba mwanamke/ kigoliNyimbo zake huwa nikisikiliza sizichoki japo kihaya sielewi
Huyu mama yuko Bukoba kwa Sasa kapoteaUngekielewa ungezipenda zaidi,,, nyimbo zake nyingi ni mapenzi aina flani ya mitongozo na kumpamba mwanamke/ kigoli
Mashairi yametulia ndo vile enzi hizo video hazikuwa na quality nzuri lakini akitokea mtu wa kutumia nyimbo zile kufanyiwa video kali ya kisasa pasipo kubadili mandhari ya uasili.....itapendeza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama yuko Bukoba kwa Sasa kapotea
Nitafisilie mamy 🤣🤣🤣
Najua basi shost...nimejilipua tuu[emoji16]Nitafisilie mamy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah mkuu Basi nicoccect kea kiingereza chako kizuri mr
Yeah zile za zamani SI mchezo nilichukua flash nikawekwa kwa gari nikaaanza Safari ya dar to musoma haikika mpka tunafika musoma sichoki kuendesha na Wala sikuwa na uchovu wa Safari Nikiwa na ndugu zangu wawili...huyu mdada alijua Sana siku hizi kaweka ubongofleva anaharibuSijui hata alipo ....marehemu Ruge alijitahidi kumrudisha naona amepotea tena
Halafu nyimbo zake za siku hizi si nzuri vifupi na ubongo fleva mwingiii zimepoteza uasilia kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya bna, mi nkahisi we ni fundi kama mim kwenye hizi lugha, za kihaya, kiha, kikerewe n.k kama mimiii
Ila mkuü[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana kwa hii video yaan watu wanacheza kwakulazimisha mastaili hatariiiSaida ni maarufu sana na nyimbo zake zinapigwa sana Latin America kwenye Club mbalimbali na watu wanacheza kwa furaha kam hapa kwenye hii video
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuü[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana kwa hii video yaan watu wanacheza kwakulazimisha mastaili hatariii
Sent using Jamii Forums mobile app