Huyu jamaa ni blogger lakini amekuwa akisumbuliwa sana na Government of Kenya. Japokuwa Kenya kuna bloggers wengi ila yeye amekuwa akishikwa. Swali nije why him??
Kama kawaida yangu nilizama kwenye social media zake zote lakini nilikuja kumgundua kupitia Telegram kuwa jamaa nijasusi. Huyu kwanza anaakili sana, very bright. Nilichoshindwa ni nchi au watu anaowafanyia hiyo kazi. Kama ni Mossad, MI2 au CIA and many more nilishindwa kuelewa in details though i could catch something.
Kwenye ujasusi kunakitu kinaitwa CODES ( cipher ) . Huyu jamaa huandika taarifa zake kwa kutumia codes.
Niliweza ku regenerate codes zake kama mara 7 nakufanikiwa, zaidi ya hapo huwa na shindwa nakupatia chache kujua anachoelezea. Mkitaka kujua kuwa nacho ongelea kina ukweli baadhi ya habari zake anaweza tumia erufi kama WJDGTP kama codes.
Pia usalama wa taifa wa nchi nyingi duniani hutumia magazeti na majarida kusambaza taarifa kwa watu wao nje na ndani ya nchi kwa kutumia codes
Pia social media kama JF hutumika pia japo magazeti ndo sana
Percent kubwa ya wahandishi wa habari ni system. They work for the so called company. Nahivyo ndo utambuana
Cyprian mjanja kwa sababu anatumia codes za nchi tofauti tofauti inakuwa ngumu sana kuzivunja.
Watu kama hawa serïkali inapo wagundua huwa sumbua nakuwa chochea ili waweze kumwaga codes zaidi.
Pia familia zao ushikwa ilikusaidia uchunguzu. Wanapo fail kabisa ni wanamuuliza then death as a last solution.
Mtu kama Cyprian serikali kumuondoa ningumu sana kwa sasa cause he has the key of the black box. Unless they first get it.
Then who is Cyprian working for and for what??
Episode 2 coming soon. He will be dead or alive.
Kama kawaida yangu nilizama kwenye social media zake zote lakini nilikuja kumgundua kupitia Telegram kuwa jamaa nijasusi. Huyu kwanza anaakili sana, very bright. Nilichoshindwa ni nchi au watu anaowafanyia hiyo kazi. Kama ni Mossad, MI2 au CIA and many more nilishindwa kuelewa in details though i could catch something.
Kwenye ujasusi kunakitu kinaitwa CODES ( cipher ) . Huyu jamaa huandika taarifa zake kwa kutumia codes.
Niliweza ku regenerate codes zake kama mara 7 nakufanikiwa, zaidi ya hapo huwa na shindwa nakupatia chache kujua anachoelezea. Mkitaka kujua kuwa nacho ongelea kina ukweli baadhi ya habari zake anaweza tumia erufi kama WJDGTP kama codes.
Pia usalama wa taifa wa nchi nyingi duniani hutumia magazeti na majarida kusambaza taarifa kwa watu wao nje na ndani ya nchi kwa kutumia codes
Pia social media kama JF hutumika pia japo magazeti ndo sana
Percent kubwa ya wahandishi wa habari ni system. They work for the so called company. Nahivyo ndo utambuana
Cyprian mjanja kwa sababu anatumia codes za nchi tofauti tofauti inakuwa ngumu sana kuzivunja.
Watu kama hawa serïkali inapo wagundua huwa sumbua nakuwa chochea ili waweze kumwaga codes zaidi.
Pia familia zao ushikwa ilikusaidia uchunguzu. Wanapo fail kabisa ni wanamuuliza then death as a last solution.
Mtu kama Cyprian serikali kumuondoa ningumu sana kwa sasa cause he has the key of the black box. Unless they first get it.
Then who is Cyprian working for and for what??
Episode 2 coming soon. He will be dead or alive.