Ndg uzuri wa JF ni huu watu huonyesha madhaifu yao mapema kwanza umekiri kuwa SIASA ZA TABORA UNAZIJUA KIASI,means uko shallow uelewa wako nimdogo kwa hili,nimefanya kazi kutaka kujua kuhusu huyu kijana ambae wewe umemuita Mpenda SIFA na huwa na mtu ili kufikia malengo yake,hapa umeonyesha uwezo wa BASHE kuwa anafahamu OBJECTIVE ZAKE NI ZIPI NA NAMNA GANI ANAWEZA KUZIFIKIA,kwahili ni sifa ya kiongozi anaefaaa haishangazi kuwa kwa sasa amembana selelii.
Ukiangalia mtoa hoja hajasema alimbana selelii 2005,bali anaongelea 2009,na ukiangalia takwimu ambazo mimi nimezipata kutoka CCM mkoa wa Tabora leo saa mbili na nusu asubuhi ni kwamba, 2005 alikuwa na kura 109,2007 huyu kijana aligombea nafasi y ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM ambapo alipata kura 1784,pia kijana huyu aligombea nafasi ya Ujumbe wa halamshauri kuu ya CCM mkoa wa Tabora akapata kura 486 ktk mkutano mkuu wa mkoa kati ya kura 623.
Na ili kuweka kumbukumbu sawa sawa itakumbukwa kuwa kijana huyu ktk politics za mkoa wa Tabora 2007 alimuunga mkono Mwenyekiti wa CCM aliekuwa anaitwa Mzee NKUMBA wakati RA,SELELII,SITA,AZIZA,MAMA MCHEMBA,na wengine wakimuunga mkono Mwenyekiti wa sasa anaeitwa WAKASUVI alisimama kidete akabaki mwenyewe na matokeo yake MZEE NKUMBA ALISHINDWA KWA KURA 20.Bashe huyu kutokana na yaliyotokea TABORA WAKATI HUO UHUSIANO WA RA,SITA,SELELII,NSEKELA ukiwa bado imara waliona huyu kijana anataka kuwavuruga,na itakumbukwa kuwa katika uchaguzi wa NEC ambao SITA alikuwa ndie mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi JINA L BASHE LILIPOTEA NA KUTOTANGAZWA NA BAADA YA UKUMBI KUPIGA KELELE NA KUHOJI SITA AKASEMA NIMESAHAU JINA LA HUSSEIN BASHE NA AKATOA IDADI YA KURA AMBAZO ZILISABABISHA KELELE NA WATU KUJIULIZA KULIKONI JINA MOJA LIWELIMEPOETEA? na hii ni baada ya kijana huyu kusimama kidete katika uchaguzi wa wilaya huku akipimana ubavu na SELELII ALIPOWEKA MKE WAKE MKUBWA ANAEITWA MAMA IGOGO KUGOMBEA UENYEKITI WA WILAYA,HUKU BASHE AKIMUUNGA MKONO MZEE AMBAE ANAITWA MWALIMU SHIJA ALIEKUWA ANATUHUMIWA NA KINA SELELII KUWA NI MTU WA MALECELA HAKUWA MTANDAO 2005,BASHE ALIMSIMAMIA MZEE HUYU MATOKEO YAKE AKASHINDA BAADA YA UCHAGUZI KUVURUGIKA MARA MBILI.
Nilichfurahia hapa ni kuwa umekiri huna taarifa za kutosha kuhusiana na siasa za mkoa wa Tabora,pia nikufumbue macho 2008,MH SPIKA aliweka mgombea wake kwa ajili ya kiti cha UVCCM mkoa ambae ni katibu wa mbunge urambo mashariki anaitwa PAULO shija,Bashe nae kwa kuwa alikuwa anajiandaa kugombea UENYEKITI UVCCM alihakikisha anaweka mtu wake katika uchaguzi huo amabao PAULO SHIJA ALIKUWA ANASIMAMIWA NA SITA NA SELELII,wakati KAMOGA ALIKUWA ANASIMAMIWA NA BASHE ,mgombea ambae bashe alikuwa namuunga mkono alishinda na kumuangusha msaidizi wa spika ambae selelii alizunguka mkoa mzima kumpigia kampeni.
Mtoa mada hakutaka kujua abt 2005 or 2000,lakini nikukumbushe seleii 1995 alizidiwa kura na bwana aneitwa KATUGA jina lake likakatwa na NEC akarudishwa selelii na kufanya huyu bwana kujiunga na CUF,pia 2000 alishindwa na ABDALAH NASSOR,nae jina likakatwa na NEC akarudishwa selelii,na ukumbuke kuwa mara zote hizi amerudishwa kwa msaada wa RA pia 2005,alishinda baada ya RA kuhamia Nzega kumsaidia selelii nA KURA kupigwa usiku wa manane,na matokeo kutangazwa hata hivo JUMLA YA KURA WALIZOPATA WAGOMBEA ZIKAZIDI IDADI YA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM WILAYA JAMBO LILILOLETA VURUGU LAKINI BASHE NI MGOMBEA PEKEE ALIEKUBALI MATOKEO NA HAPO SAFARI YA KUJIJENGA KISIASA IKAANZA.
KAMANDA MAO SE TUNG ALIWAHIKUSEMA NO DATA NO RIGHT TO SPEAK
NAOMBA KUWASILISHA.