Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Mi cijawahi ona msomi ambaye,yani anatukana tukana ovyo pia ina maana unataka kuniambia,de issue,ambayo iko tok of de twn amesingiziwa pia?? Usiegamie upande wa mazuri yake na mabaya pia usemage cimjui mange saaaana bt kwa hapa cijakubaliana na wewe hawez kurusha matusi makali vile mbna trebella kaibiwa lakin she,ddnt say anything
 
HAHAHAAAAAAAA! USILOLIJUA LITAKUSUMBUA! Vitu huvijui kwa kuvidandia wewe nawe!

Mwambie chagaa AANDIKE SUUU KWENY INSTA YAKE TUONE KAMA ANAZO AU HANA! TRELLA ISHAWEKWA MULE, TUMEUCHUNGULIA MPAPA KIJUU JUU TU! Hahahaaaa!

Sinta nae alipewa onyo AKIMUANDIKA CEO HATA AKIJIHISI TU MPAPA UNAWEKWA HADHARANI TOKA LILE TAMKO LITOLEWA KANYOOKA KAMA KAPIGWA PASI! Hana ujanja! Bwana wake mwenyewe katuma ze pichaz za mpapa!

TUNAVOONGEA HAO WOTE MIPAPA YAO IPO BOND NA WAMETULIA TULI HALI ISHAKUWA SHWARI O BAY KULE TUNAFANYA BIASHARA TU SAIVI. AKIJITOA UFAHAMU MTU MPAPA UNAWEKWA!

Kama wanabisha wao si mabingwa wa kupost WASEME MANGE MAKU MBIGIRISI WE DARE YOU POST HIO MIPAPA! Waone kazi! All they have to say is SUUUUUU!
 
mange na sinta wote nawakubali... ila alivyomnya
mba sinta sijapenda hio mipele sijui minundu haiko poa. ye angebaki kuwajibu kwa fact inatosha.

Amepewa elimu amenyimwa busara na hekma
Na hana washauri wazuri
Siku akija kugundua anakosea will be too late...!
 

Wanampuuza yule wanamuona hana akili mi nakwambia hivi we yule mtu mzima kabisa?!!!
Ana mume na watoto anataka kushindana na watu wasio na waume wala watoto hizo akili matope?!!!
Yale sio maisha yale ipo siku tajiri ataomba chumvi kwa masikini!
 
Hamna aliyeanika maisha yake hapa hata mmoja..
Ye si anataka umaarfu acha watu wamjadili tena sie hohehahe ndo tunampa umaarufu
Hao celebrities hawana time nae wanaogopa atawalipua labda
So avumilie tu makavu!
Umaarfu zigo la miiba!
Hahaaaa! SASA NA NYIE MSIOTAKA UMAARUFU WAKE, NA MNAJIONA MNA HADHI YA KUMNYAMBAAA WEKENI CREDENTIALS TUPIME YALIYOMO YAMOOOO.
Sio kujificha nyuma ya keyboard kumnanga mtoto wa mwenzenu wakati nyie binafsi MPO WORSE OFF! Tunataka FAIR PLAY!
 
lara 1 kuweka picha ya mtu akiwa mtupu ni akili? Kwa umri wake huo hapaswi kufanya hivyo regardless of the uchikonoko aliofanyiwa..... hayo yanafanywa na teenagers bhana....
 
Last edited by a moderator:
Wanampuuza yule wanamuona hana akili mi nakwambia hivi we yule mtu mzima kabisa?!!!
Ana mume na watoto anataka kushindana na watu wasio na waume wala watoto hizo akili matope?!!!
Yale sio maisha yale ipo siku tajiri ataomba chumvi kwa masikini!
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Wenye akili ni hao WALIO ENDA KUPIGA PICHA YA MIPAPA YAO NA KUVICHIA VIBUZI?
Kutokuwa na mume kilemaaa? Si status tu? Yeye ndo anagawa waume? Embu usitudharau tusiokuwa na waume! Tutake radhi!
Regardless wana waume hawanaa wale walijitia kumuingiloa mambo yake kinyume na maumbile akawapa makavu live wote wenye waume zao kina bedui na wasio na waume kina staarisha. WPTE PEWA DOZI NENE!
Wangekuwa wanampuuza WASINGANZISHA VITA VYA KUMCHOKONOA! Wameshindwa vita na kugalagazwa chezea MPAPA WAKO KUWEKWA BOND.?
 
Kuna haja kikaanzishwa kipindi redioni au runingani cha mijadala ya kimbea kama mjadala huu...hizi team nani sijui team nani wengi ni waoga na washobakaji ambao ujanja wao ni katika keyboard ila ana kwa ana ni mandezi ambao mitandaoni unakuta anamkandia mtu flani ila ana kwa ana full shobo na wengine mpaka picha wanaomba kupiga na hao wanaowakandia mitandaoni
 
lara 1 kuweka picha ya mtu akiwa mtupu ni akili? Kwa umri wake huo hapaswi kufanya hivyo regardless of the uchikonoko aliofanyiwa..... hayo yanafanywa na teenagers bhana....
Hahahaaaaa!

KUKUBALI KUPIGWA PICHA YA UTUPU NA KUTEGESHA MPAPA VIZURI KWENYE CAMERA NI AKILI KWA UMRI WAO ULE WANAIKIMBIZA 40? Mange ndo aliwatuma wapige hizo picha za mipapa eeeh? Mbona mnamtia ubaya wa bure mtu!

Hata kupiga nyapu picha kunafanywa na teenagers!
 

Nahisi kama nimepotea....kwani huku wapi?
 

dunia ya leo imebadilika hata akiziweka hizo picha watu watashangaa siku mbili yataisha then itaingia story nyingine mtaani lkn kwake itakuwa kashajiwekea maadui wa kudumu
 
Amepewa elimu amenyimwa busara na hekma
Na hana washauri wazuri
Siku akija kugundua anakosea will be too late...!

halafu hii mitandao isiwafanye binadam wakasahau ubinadamu wao. hujafa hujaumbika, na hizo wax muombe msije mkatumia siku mkashangaa mnaota nyasi haya...
 

Witty comment darling, i rate 100%, duh upo smart sana binamu, mimi ningependa kupata jibu la swali la 1 tu tuone uo utajiri wake
 
Last edited by a moderator:
Mange kwa kweli ni kiboko,siku akifunga ile blog yake watu wataumwa,kutwa kumsema vibaya ila kila dakika wanasearch UTURN BLOG ili kujua leo Mange kapost nini?
 
Witty comment darling, i rate 100%, duh upo smart sana binamu, mimi ningependa kupata jibu la swali la 1 tu tuone uo utajiri wake

hana mali analingia masters tu basiiiiiiii elimu ni zaidi ya mali u know ukiwa nayo hufirisiki ingawa mange anafilisika kimawazo
 
dunia ya leo imebadilika hata akiziweka hizo picha watu watashangaa siku mbili yataisha then itaingia story nyingine mtaani lkn kwake itakuwa kashajiwekea maadui wa kudumu

HAHAAAAAAAAAA! BASI WASEME SUUUUUUUUUUUUU TUFAIDI MAMBO HASA HUO WA BINTI MWALUBADU ULIOKOMAZWA NA TOPAZ! Huyu mama botox atakua kauboresha boresha sio original african.

THE THING ABOUT INTERNENT HIO MIPAPA IKIWKWA UKIWA SEARCH TU HATA WAJUKUU WATASHUHUDIA ZE MPAPAZ WA ZE BIBS ULIKUWAZ UNATISHAZ, BORA WAWE WAPOLE TU! Hahahaaaaaa! Wasipomchokonoa Mange milele kuanzia awape worning atawastiri wanawake wenzetu. SOME TIMES THE BEST WAY TO WIN IS BY LOOSING! Hadi vitoto vyako vya ukoo vinakuwa vimeuonaz ZE MPAPAZ WA AUNTZ, MAMKUBWAZ, DOOOOOOH,!

Maadui wa kudumu wanamsaidia nini cha maana kwani au basi tu? Mambo mengine hayana hata msingi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…