Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Mi cijawahi ona msomi ambaye,yani anatukana tukana ovyo pia ina maana unataka kuniambia,de issue,ambayo iko tok of de twn amesingiziwa pia?? Usiegamie upande wa mazuri yake na mabaya pia usemage cimjui mange saaaana bt kwa hapa cijakubaliana na wewe hawez kurusha matusi makali vile mbna trebella kaibiwa lakin she,ddnt say anything
 
Hana hata ya mmoko yule angekua nazo ashaweka mi nakwambia anavyopenda sifa za km kitunguu saum..
Sintah kampuuza anafanya yake asa hv na yanamwendea...
Mi nahofia watoto wake watakavyokuja kufanywa baadae atajuta kujiona ye ndo bab kubwa...!
Maana si unaona asa hv watu wanatumia mambo ya mzee wake kumu attack yeye..!japo mi sipendi but the same story itarudi kwa wanawe aijongeze hata kidogo.n..
YE ni mama yule jamani wenzie kunyamaza wanafanya kwa ajili ya watoto wao!
HAHAHAAAAAAAA! USILOLIJUA LITAKUSUMBUA! Vitu huvijui kwa kuvidandia wewe nawe!

Mwambie chagaa AANDIKE SUUU KWENY INSTA YAKE TUONE KAMA ANAZO AU HANA! TRELLA ISHAWEKWA MULE, TUMEUCHUNGULIA MPAPA KIJUU JUU TU! Hahahaaaa!

Sinta nae alipewa onyo AKIMUANDIKA CEO HATA AKIJIHISI TU MPAPA UNAWEKWA HADHARANI TOKA LILE TAMKO LITOLEWA KANYOOKA KAMA KAPIGWA PASI! Hana ujanja! Bwana wake mwenyewe katuma ze pichaz za mpapa!

TUNAVOONGEA HAO WOTE MIPAPA YAO IPO BOND NA WAMETULIA TULI HALI ISHAKUWA SHWARI O BAY KULE TUNAFANYA BIASHARA TU SAIVI. AKIJITOA UFAHAMU MTU MPAPA UNAWEKWA!

Kama wanabisha wao si mabingwa wa kupost WASEME MANGE MAKU MBIGIRISI WE DARE YOU POST HIO MIPAPA! Waone kazi! All they have to say is SUUUUUU!
 
mange na sinta wote nawakubali... ila alivyomnya
mba sinta sijapenda hio mipele sijui minundu haiko poa. ye angebaki kuwajibu kwa fact inatosha.

Amepewa elimu amenyimwa busara na hekma
Na hana washauri wazuri
Siku akija kugundua anakosea will be too late...!
 
HAHAHAAAAAAAA! USILOLIJUA LITAKUSUMBUA! Vitu huvijui kwa kuvidandia wewe nawe!

Mwambie chagaa AANDIKE SUUU KWENY INSTA YAKE TUONE KAMA ANAZO AU HANA! TRELLA ISHAWEKWA MULE, TUMEUCHUNGULIA MPAPA KIJUU JUU TU! Hahahaaaa!

Sinta nae alipewa onyo AKIMUANDIKA CEO HATA AKIJIHISI TU MPAPA UNAWEKWA HADHARANI TOKA LILE TAMKO LITOLEWA KANYOOKA KAMA KAPIGWA PASI! Hana ujanja! Bwana wake mwenyewe katuma ze pichaz za mpapa!

TUNAVOONGEA HAO WOTE MIPAPA YAO IPO BOND NA WAMETULIA TULI HALI ISHAKUWA SHWARI O BAY KULE TUNAFANYA BIASHARA TU SAIVI. AKIJITOA UFAHAMU MTU MPAPA UNAWEKWA!

Kama wanabisha wao si mabingwa wa kupost WASEME MANGE MAKU MBIGIRISI WE DARE YOU POST HIO MIPAPA! Waone kazi! All they have to say is SUUUUUU!

Wanampuuza yule wanamuona hana akili mi nakwambia hivi we yule mtu mzima kabisa?!!!
Ana mume na watoto anataka kushindana na watu wasio na waume wala watoto hizo akili matope?!!!
Yale sio maisha yale ipo siku tajiri ataomba chumvi kwa masikini!
 
Hamna aliyeanika maisha yake hapa hata mmoja..
Ye si anataka umaarfu acha watu wamjadili tena sie hohehahe ndo tunampa umaarufu
Hao celebrities hawana time nae wanaogopa atawalipua labda
So avumilie tu makavu!
Umaarfu zigo la miiba!
Hahaaaa! SASA NA NYIE MSIOTAKA UMAARUFU WAKE, NA MNAJIONA MNA HADHI YA KUMNYAMBAAA WEKENI CREDENTIALS TUPIME YALIYOMO YAMOOOO.
Sio kujificha nyuma ya keyboard kumnanga mtoto wa mwenzenu wakati nyie binafsi MPO WORSE OFF! Tunataka FAIR PLAY!
 
HAHAHAAAAAAAA! USILOLIJUA LITAKUSUMBUA! Vitu huvijui kwa kuvidandia wewe nawe!

Mwambie chagaa AANDIKE SUUU KWENY INSTA YAKE TUONE KAMA ANAZO AU HANA! TRELLA ISHAWEKWA MULE, TUMEUCHUNGULIA MPAPA KIJUU JUU TU! Hahahaaaa!

Sinta nae alipewa onyo AKIMUANDIKA CEO HATA AKIJIHISI TU MPAPA UNAWEKWA HADHARANI TOKA LILE TAMKO LITOLEWA KANYOOKA KAMA KAPIGWA PASI! Hana ujanja! Bwana wake mwenyewe katuma ze pichaz za mpapa!

TUNAVOONGEA HAO WOTE MIPAPA YAO IPO BOND NA WAMETULIA TULI HALI ISHAKUWA SHWARI O BAY KULE TUNAFANYA BIASHARA TU SAIVI. AKIJITOA UFAHAMU MTU MPAPA UNAWEKWA!

Kama wanabisha wao si mabingwa wa kupost WASEME MANGE MAKU MBIGIRISI WE DARE YOU POST HIO MIPAPA! Waone kazi! All they have to say is SUUUUUU!
lara 1 kuweka picha ya mtu akiwa mtupu ni akili? Kwa umri wake huo hapaswi kufanya hivyo regardless of the uchikonoko aliofanyiwa..... hayo yanafanywa na teenagers bhana....
 
Last edited by a moderator:
Wanampuuza yule wanamuona hana akili mi nakwambia hivi we yule mtu mzima kabisa?!!!
Ana mume na watoto anataka kushindana na watu wasio na waume wala watoto hizo akili matope?!!!
Yale sio maisha yale ipo siku tajiri ataomba chumvi kwa masikini!
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Wenye akili ni hao WALIO ENDA KUPIGA PICHA YA MIPAPA YAO NA KUVICHIA VIBUZI?
Kutokuwa na mume kilemaaa? Si status tu? Yeye ndo anagawa waume? Embu usitudharau tusiokuwa na waume! Tutake radhi!
Regardless wana waume hawanaa wale walijitia kumuingiloa mambo yake kinyume na maumbile akawapa makavu live wote wenye waume zao kina bedui na wasio na waume kina staarisha. WPTE PEWA DOZI NENE!
Wangekuwa wanampuuza WASINGANZISHA VITA VYA KUMCHOKONOA! Wameshindwa vita na kugalagazwa chezea MPAPA WAKO KUWEKWA BOND.?
 
Kuna haja kikaanzishwa kipindi redioni au runingani cha mijadala ya kimbea kama mjadala huu...hizi team nani sijui team nani wengi ni waoga na washobakaji ambao ujanja wao ni katika keyboard ila ana kwa ana ni mandezi ambao mitandaoni unakuta anamkandia mtu flani ila ana kwa ana full shobo na wengine mpaka picha wanaomba kupiga na hao wanaowakandia mitandaoni
 
lara 1 kuweka picha ya mtu akiwa mtupu ni akili? Kwa umri wake huo hapaswi kufanya hivyo regardless of the uchikonoko aliofanyiwa..... hayo yanafanywa na teenagers bhana....
Hahahaaaaa!

KUKUBALI KUPIGWA PICHA YA UTUPU NA KUTEGESHA MPAPA VIZURI KWENYE CAMERA NI AKILI KWA UMRI WAO ULE WANAIKIMBIZA 40? Mange ndo aliwatuma wapige hizo picha za mipapa eeeh? Mbona mnamtia ubaya wa bure mtu!

Hata kupiga nyapu picha kunafanywa na teenagers!
 
Anyeonghaseyooooooooooooooooooooooooooooo!

Watu mnapenda snaaa kuropoka vitu hamna hata DATA navyo kama sio wasomi vile! Wengine Mange mmemjua ukubwani mwenu ila mnavopenda kujifanya mnamjua sasa hovyooooooo! Sasa leo nawaletea biography yake mlinganishe na ZENU afu ndo mmjadili.

WHO IS MANGE KIMAMBI NOW!
Mange Kimambi Lowery is a mother of 3 children, married to an American citizen Mr. Lowery since 2008, lives in Los Angels U.S.A. She has 2 sons and 1 daughter, she is 34 years old, Pare by origin and an orphan. She was grew up in Mbezi beach Africana, (ile nyumba opposite Shelli, baada ya Boa bank au next to Nmb ghorofa moja hivi ina ukuta wa mawe nje pale sasa) she was raised by his father and her step mom! Never had best relation with her mother but who are you to judge? Had a very luxorious life growing up being a daugher of a sucessful construction businessman, and she stood up on her own when her passed away at her tender age.

Economy
She is an entrepreneur with 2 online shops, www.bongolicious.com. and Hollywood Shopaholics, and she is also a machinga doing bongolicious in bongo atleast 4 times a year. She is also a bloger exclusively sponsored by Vodacom Tanzania.

Education
Primary Arusha
Secondary Zimbabwe
Collage USA
Degree Daresalaam
Masters United Arab Emirates

Work Experience.
Standard Chattered Bank part of Standard Group
Barclays Bank Dubai
Dubai World Bank.

Country visited
USA
United Kingdom
UAE
Mehico
Thailand
Uholanzi
Spain
India
Sultanate of Oman
South Africa
Canada
ETC (passport yake inachosha kuitizama kiukweli imejaa VISA za kila mahali.)

Personal Traits
Ambitious
Vigorous
Short tempered
Charittable,
Etc.

SwornEnemies
Linda Bedui
Staharisha
Jestina
Recho
Kisa
Missy TMK
Shammy
Sinta wa necha
Etc hawa ni highly publicised. Mi sijaona cv ya yeyote kati yao worth my time kuiweka feel free kuweka wewe.

Pamoja na kutumika nguvu nyingi mno mno kumchafua na kumrudisha nyuma huyu kiumbe Mange Kimambi remains an ambitious orphan, wife and a mother standing against all odds kujitafuta maisha, always getting rich or she will die trying. Mengi yamesemwa na yatasemwa but she is always the last person standing and has the last laugh.

From just an orphan to an international banker (wengine wazazi wote tunao na kupata kazi bank tu hapa bongo issue), a citizen of USA, surviving in LosAngels with 3 kids, she earned my respect. She made her own life.

Kwanini anaonekana mgomvi.?
Mi nasema wote wanaogombana nae wanamuonea wivu, sababu kwanza ni watu hawana kitu, hawana shule hawana lolote na umri umeenda wanatafuta tu cheap publicity. Hakuna mtu alieanza kuonewa na Mange, wengi wana mbeep akiwapigia wananza kujivictmise. Mange sio chizi na sio mnyonge. Na wote maadui zake wakubwa walianza kumuomba urafiki alipogoma ndo wakaanza vita.
Tujikumbushe
Linda bedui alianza kuihujumu biahsara ya mwenzie ya bongolicious na kumtukana facebook.
Sintah alianza kuachia comments za kumtusi mwenzi akaonywa akajitia hasikii matokeo yake mama yake mzazi kavuliwa nguo
Recho alimuomba urafiki kanyimwa
Sitaharisha nae alimuomba ubest akanyimwa akafungua blog kumtukana
Shammy alimpampu Sinta

KWELI MANGE KAMA BINADAMU ANA MAPUNGUFU PIA ILA HAWA WANAOFANYA NAE CYBER WARS WANAJITAKIA WENYEWE! Wanaanza kumchokoa mda anawapuuza. Kweli kuna watu wana mabeef na Mangenita ya ukweli afu heavy hukuti wanaanika mtandaoni kama kina Mwamy, Kisa, sophy,captain Hilda, na wale mashostito wa zamani.

Nahisi kama nimepotea....kwani huku wapi?
 
HAHAHAAAAAAAA! USILOLIJUA LITAKUSUMBUA! Vitu huvijui kwa kuvidandia wewe nawe!

Mwambie chagaa AANDIKE SUUU KWENY INSTA YAKE TUONE KAMA ANAZO AU HANA! TRELLA ISHAWEKWA MULE, TUMEUCHUNGULIA MPAPA KIJUU JUU TU! Hahahaaaa!

Sinta nae alipewa onyo AKIMUANDIKA CEO HATA AKIJIHISI TU MPAPA UNAWEKWA HADHARANI TOKA LILE TAMKO LITOLEWA KANYOOKA KAMA KAPIGWA PASI! Hana ujanja! Bwana wake mwenyewe katuma ze pichaz za mpapa!

TUNAVOONGEA HAO WOTE MIPAPA YAO IPO BOND NA WAMETULIA TULI HALI ISHAKUWA SHWARI O BAY KULE TUNAFANYA BIASHARA TU SAIVI. AKIJITOA UFAHAMU MTU MPAPA UNAWEKWA!

Kama wanabisha wao si mabingwa wa kupost WASEME MANGE MAKU MBIGIRISI WE DARE YOU POST HIO MIPAPA! Waone kazi! All they have to say is SUUUUUU!

dunia ya leo imebadilika hata akiziweka hizo picha watu watashangaa siku mbili yataisha then itaingia story nyingine mtaani lkn kwake itakuwa kashajiwekea maadui wa kudumu
 
Amepewa elimu amenyimwa busara na hekma
Na hana washauri wazuri
Siku akija kugundua anakosea will be too late...!

halafu hii mitandao isiwafanye binadam wakasahau ubinadamu wao. hujafa hujaumbika, na hizo wax muombe msije mkatumia siku mkashangaa mnaota nyasi haya...
 
Nna maswali kwako lara 1

1:Tuwekee na utajiri alionao Mange??
Maana umesema wanamuonea wivu

2: baba yake alifariki kisa nini na alifanywa nini mpaka akajiuaa??

3:nguo za mchina sio za mchina??

4: email iliyosambaa na ni ya zamani akielezea ufuska wake hadi wa kuliwa tigo unauzungumziaje??

5: kama alikua wa kibopa/kishua mawindoni kwenye mahotel kutafuta mabwana ilikuaje ?? Ndio akambahatisha huyo Lance

6; huyo mmewe mbona ana hama hama hana makazi maalumu au kazi maalumu? ??

7:anawasema wenzie wabaya wana sura mbaya,kati ya wanawake wazuri Mange yumo?????
Ni hayo tu! !!!!!!

Witty comment darling, i rate 100%, duh upo smart sana binamu, mimi ningependa kupata jibu la swali la 1 tu tuone uo utajiri wake
 
Last edited by a moderator:
Mange kwa kweli ni kiboko,siku akifunga ile blog yake watu wataumwa,kutwa kumsema vibaya ila kila dakika wanasearch UTURN BLOG ili kujua leo Mange kapost nini?
 
Witty comment darling, i rate 100%, duh upo smart sana binamu, mimi ningependa kupata jibu la swali la 1 tu tuone uo utajiri wake

hana mali analingia masters tu basiiiiiiii elimu ni zaidi ya mali u know ukiwa nayo hufirisiki ingawa mange anafilisika kimawazo
 
dunia ya leo imebadilika hata akiziweka hizo picha watu watashangaa siku mbili yataisha then itaingia story nyingine mtaani lkn kwake itakuwa kashajiwekea maadui wa kudumu

HAHAAAAAAAAAA! BASI WASEME SUUUUUUUUUUUUU TUFAIDI MAMBO HASA HUO WA BINTI MWALUBADU ULIOKOMAZWA NA TOPAZ! Huyu mama botox atakua kauboresha boresha sio original african.

THE THING ABOUT INTERNENT HIO MIPAPA IKIWKWA UKIWA SEARCH TU HATA WAJUKUU WATASHUHUDIA ZE MPAPAZ WA ZE BIBS ULIKUWAZ UNATISHAZ, BORA WAWE WAPOLE TU! Hahahaaaaaa! Wasipomchokonoa Mange milele kuanzia awape worning atawastiri wanawake wenzetu. SOME TIMES THE BEST WAY TO WIN IS BY LOOSING! Hadi vitoto vyako vya ukoo vinakuwa vimeuonaz ZE MPAPAZ WA AUNTZ, MAMKUBWAZ, DOOOOOOH,!

Maadui wa kudumu wanamsaidia nini cha maana kwani au basi tu? Mambo mengine hayana hata msingi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom