Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
hivi kwa nini unamchukia mange mme kuwa maskinii wewe hupumui kwanza mange huwa hajisifii kuwa mme wake ni tajiri nyie ushamba wenu tu ndo mnawaza hivyo,
AAAAA now I gat it "NEVER HAD BEST RELATIONSHIP WITH HER MOTHER" AM no body to judge but with this nimepata majibu yote.
pole ka uliamini kuhusu tambaza........., bey bado mbichiii
hivi kwa nini unamchukia mange mme kuwa maskinii wewe hupumui kwanza mange huwa hajisifii kuwa mme wake ni tajiri nyie ushamba wenu tu ndo mnawaza hivyo,
ila Mange malezi ya kina Leyla yanamuhusu nini???? si a deal na watoto wake na yeye.........
anasema leyla wa watu anauza bar ye bhoke kamlea kwa maadili eti hajui upande mwingine wa maisha yake na haters wake
Pole my dia....Mungu yuko nawe
umemalizaa...?haya tuma salam kwa watu watatu usowajua fasterr....!!!!
hahaaaa nipo huu muda nalea ndoa yangu na baba kijacho.
bundle haiishi leo wala kesho
mpaka sasa sijaona fact ya maana.
hahahaha ahsante mama maana nilishajiandaa kutafuta na ka mkwe niitwe bibi lol (joke)
tufanye yetu na ye afanye yake tatizo anatakaumaarufu na kumsema linda mi sjamskia linda kagombana gombana hovyo km shoga akoMbona Linda bedui nae kaolewa ana watoto 4 hamumsemi? Ya ngoswe muachie ngoswe, ya bokhe muachie mama bokhenzo, INANICHOSHA WATU BAKI MNAVOJITIA WAPANA KAMA PAZIA LA CINEMA KUJIFANYA MNA UCHUNGU NA MTOTO WA MWENZENU KULIKO YEYE ALIEINGIA LABOR! Hahhaaaaa! Madogo yana nafuu!
FANYENI YENU!
Kila mdau aagize kinywaji will foot the bill... Thread imechangamka mnooo
bar nayo ni kazi kama kazi nyingine.... Watu wanasomesha watoto kwa kazi hizo hizo za bar.......... aache dharau
Naona na wewe umekua unanipa habari lols....
facts zote alizotoa lara 1 hujaziona kweli????
now you know Cynthia .... u know it very well
hahaaa ngoja nianze mie kuagiza.......
muhudumu kuja pande hizi
hahaaa ngoja nianze mie kuagiza.......
muhudumu kuja pande hizi