Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
kwa kifupi maisha ya ughaibuni ujanjaujanja lazima uwepo kama mtu anaiona fursa ya kuitumia.
hata tuliopo bongo mtu akipata connection ya watoto yatima wanalipiwa school fees feza schools au any expensive schools sidhani kwa wabongo ninaowajuwa mimi kama wataiacha fursa hiyo.
cha msingi watanzania huko majuu sasa tuuache uswahiliswahili tupendane.
leo hii uchaguzi wa rais wa dmv marekani kampeni za kidini zimeanza eti achaguliwe mwislamu mwenzao idd sandaly, hii ni msg wanatumiwa watanzania waislamu waliopo dmv. hawa ndio watanzania wasiojuwa marekani ni taifa la kikristo lakini kuna wakristo wananyimwa viza na kupewa viza waislamu.
You Are Being Fair....