Mange ni Mwanamke muhangaikaji wa Kitanzania anayeumiza vichwa vya BAADHI ya Wanawake wenzie wale MBURULA (in Le Mutuz Voice
Awaumizee kwa lipi alilonalooo nyie ndio anawaumizaa
kupoteza hata dk 5 kumfikiria au kuandika lolote kuhusu yeye sio nduguyo ! siyo kiongozi ! ni kuumizwa vichwa Pole sana !!
Hajuii hillo na atakuja muda si mrefu
Yes she is Black and Beautiful very Beautiful ...usifuate kasoro za Mama yake kukosoa Watu kama unajua kuumba No , Mnyonge Mnyongeni na haki yake Mpeni ...she is Beautiful
Binamu vipi? Umepigwa tena ban?
kupoteza hata dk 5 kumfikiria au kuandika lolote kuhusu yeye sio nduguyo ! siyo kiongozi ! ni kuumizwa vichwa Pole sana !!
Wee hujui anataka kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM,ndio kujulikana hukooo acha asemwer hata ye anapenda kusema wenziee hivyo hivyoooooo
Tatizo lenu watu wa mujini mnakariri sana mnajua kazi kuajiriwa serikalini, benki,kampuni za simu na mwisho kujiajiri kwenye maboutique na udalali.Mkishindwa sana mnatafutiwa safari za Brazil na Pakistan.
Yes she is Black and Beautiful very Beautiful ...usifuate kasoro za Mama yake kukosoa Watu kama unajua kuumba No , Mnyonge Mnyongeni na haki yake Mpeni ...she is Beautiful
Nshaaribu zaman binamu, na sas ivi wameniweza mwez mzima, kwan mi najali? Watajijua wenyew na mabalaa yao min nipo kama ifuatavyo waifunge mwez mwaka watajiju sina habaree
Siku nikienda Marekan utanikomaaa ww,ntakua nakurushia picha tu mpaka ufeee
kupoteza hata dk 5 kumfikiria au kuandika lolote kuhusu yeye sio nduguyo ! siyo kiongozi ! ni kuumizwa vichwa Pole sana !!
Hata wewe unapoteza hizo dakika tano tena na zadi kujadilia mambo ambayo unayaona ya kipumbavu, ingekuwa vizur kama ungetuacha tuendelee na u jobless wetu au na wewe ni mwenzetu binamu? I wonder tu why unaendelea Ku comment humu wakat ni mda wa kazi au na na wewe ndo wale wale kasor majina, karibu by the way
Ila usisahau kujiwekea bima, usije ukachomwa moto huko.
Ila binamu una matusi wewe lakini Tandale ndo jinsi mlivyo,nasikia mahakama ya mwanzo Magomeni ina kesi nyingi kutoka Manzese na Tandale zote za kutukanana matusi.
Halafu it's like kama Irene sporah njau wa Sporah show na Mange wanafanana kimuonekano wa nje.
Au mawazo yangu tu!
Aaa ndo freshii nije bongo kuzikwaa ili iwejee huko hukoo mi nazikwaaa banaaa, hata nikichomwa moto ntajijuaa sasaa
Ila binamu una matusi wewe lakini Tandale ndo jinsi mlivyo,nasikia mahakama ya mwanzo Magomeni ina kesi nyingi kutoka Manzese na Tandale zote za kutukanana matusi.
Binamu nakuaminiaga kwa facts ila Leo umeniangusha, bhoke ana uzur gan? Vile tu yupo ulaya je angekuwa bongo angekuwaje? Yeye si anajifanyag chiz let's play it this way, katoto kake ka kiume ka kenzo ndo kazur ashukur mungu damu ya zeru zeru maana mange anatoaga uchafu tu uko chini
Hhhhaaaaaa kumbeee ,binamu anijibu hapaa aiseee una utan unao
Usisahau kunitumia raba za mamtoni zote za kushoto.
Halafu it's like kama Irene sporah njau wa Sporah show na Mange wanafanana kimuonekano wa nje.
Au mawazo yangu tu!