U are trying to switch on the car baby, I'm too afraid if u start the engine , I pittty you if you can survive
Tatizo lako vitisho vingiiiiiii,
Fanya vitendo,nakuomba niko chini ya miguu yako NIKOMESHE,nikubembeleze vipi labda ili unipe hilo pigo uliloniahidi?
fanya mambo hata majobless wenzio nadhan wsnasubiri kwa hamu unikomeshe,naomba nikomeshe.
Naona tunazinguana tu na ai piti yuu nyingi.Ulishasema vita imeanza sasa unasubiri nn kuniteketeza?
mods naomba msimlambe ban,chochote atakachofanya dhidi yangi nimempa ruhusa mm,labda anaogopa ban ndo mana anaogopa kuingia vitani.NAOMBA MSIIPE BAN.
BABY MAMA bring it.