philbert kuwingwa
Member
- Oct 13, 2016
- 30
- 8
Akikamatwa akabonyezwa vizuri atataja hadi waliopo makaburiniMange anachofanya na anapopatia huwa anatumiwa habari zote na watu waliopo serikalini na kwingineko, Ila huwa hatoi siri wala kutaja nani kamtumia habari zile,
Watu wazito huwa wanampa mtonyo inbox,nahisi kuna tatizo kubwa sana mahali, na nahisi Huyo dada kuna siri nyingi sana anazijua kuhusu vigogo mbalimbali, ngoja tusubiri...iko siku haki itatendeka
Yeah,tatizo raia wanaangalia upande mmoja,huyo mtt wa Rita amemtusi sana Mange na yy lazima ajibu mapigoJiulizeni huyo mama alimfanya nini mange? Hivi mnajua matusi ambayo mange alitukanwa na mtoto wa rita mlaki? Mnajua matusi ambayo mange katukanwa na rachel temu? Mnajua jinsi wazazibwa mange walivyotukana sana kwnye mitandao? Mnajua chanzo cha haya yote?
Msiishie kuangalia upande mmoja tu.
sawa dada yangu.Inaonekana hata habari zake huzijui,Mange ana watoto 3 sio 4
1.Amezaa na Frank Gonga
2/3 Kazaa na mzungu
Nitajie watu 20 kama wewe sio muongoInaonekana hujui habari za Mange ndio maana unamtetea,Mange ameshatukana mtandaoni watu zaidi ya 100 tena matusi yasiyostahili.
Unamjua rachel vizuri?Ana stress akiwaona wadada wanafanikiwa anapata kichaa amekaa huko ulaya anavalisha tu watoto pampers na kuwinda vibabu vya kizungu akiona wenzake wanafanikiwa anaanza kuwatukana. Rachel kupata mchumba imekuwa tatizo kaamsha kichaa.
CCM walifuga mamba sasa leo mamba wao kawageuka ameanza kuwalaAlaf wakt wa uchaguz mkuu mwaka jana alimtukana sana Lowassa na CCM wakashangili kwel. Sahiv amewageuka, CCM yote wanamchukia
Kwenye blog yake alibandika list ya aliogombana nao wengi tuNitajie watu 20 kama wewe sio muongo
Nitajie watu 20 kama wewe sio muongo
Aligombana nao au aliwachamba..?Kwenye blog yake alibandika list ya aliogombana nao wengi tu
Haya lete walichomjibu kwa kila mmoja.Edward Lowasa
Anne Kilango
Naki Kilango
Rachel Temu
Hoyce Temu
Rizwan Kikwete
January Makamba
Mwamvita Makamba
William Malecela
Paul Makonda
Diamond Platinumz
Sintah
DJ Majay
Kinje
Teddy Kalonga
Jackline Mengi
Mboni Masimba
Shamim Mwasha & Mumewe
Linda Bedui
Zari
Jestina George
Kiki
Dah mie pia namkubali sana angelikuwa hapa tz ningetangaza ndoaKiukweli huyo mange namkubali kiaina
Mange hajaanza kutukana watu leo kabla hata Instagram alikuwa na blog yake kila siku anatukana watu kwake baadae akaamua kuifungaNitajie watu 20 kama wewe sio muongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah mie pia namkubali sana angelikuwa hapa tz ningetangaza ndoa