BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Huyu kishachukua Umarekani hahitaji tena kuomba awe mkimbizi.
We unatafuta sababu ya kupata ukimbizi wa kisiasa kwa madai ya kuikosoa serikali. Tafuta mzungu mwingine uolewe huko, maana hii ya kutukana imebuma