Who is mbwiga wa mbwiguke?

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
jamami huyu m2u,anayekuwa anazungumza kwenye kipindi cha sports- xtra cha clouds fm,ni yanki au mzee?,kwani ni m2u anayechekesha sana kwa maneno yake(umatemate),utakuta anakupa story ya mechi ya 1968! Kama alikuwepo vile uwanjani! Ki ukweli namkubali sana kwa makeke yake,kila ki2u kinachohusu mpira wa bongo! Je kuna anayemfahamu kiundani? Nawakilisha
 
Zamani alikuwa anaokota vyuma chakavu na chupa za plastic mitaani. Baada ya hapo sikumwonaga tena...
 
utawakubali wengi tu nenda mechi za mchangani viwanjani uwaone.wote waganga njaa tu.
 
kwa mpira wa hapa mbogo kweli jamaa anafulahisha sana ila soka la nje jamaa ovyo hajui kitu
 
Anafurahisha au anachekesha?. Mimi namuona kama anachekesha tu.
 
udambu udambu, jamaa anatoa story kama zilivyotokea na yuko real kama tunavyopiga story mtaani na sio kuigiza. Stori zingine usingepata kuzisikia na ubunifu kama huu ungeenda kwa watu wamikoani na wao wangetupa uhondo wa uko na sio habari za kutafsiri kila kukicha.
Kuna timu kama tukuyu stars na meko kizazi kipya kinahaki ya kupata habari zao, meko walikuwa na pumzi si mchezo wakimaliza gemu wanatroti
 

unawakilisha unawasilisha?
 
................... mtu muongo muongo, mjanja mjanja hivi ......... mtoto wa mjini, mtoto wa kariakoo ...........ni mpenzi na mnazi wa mpira wa ndani (yanga na simba) mtu mbunifu, kajaliwa nahau na mifano ya kuwasilisha akisemachao. Shafii alikua akijaribu kutupa vionjo vya siku za nyuma kupitia "kumbukumbu" na ilikua inasisimua sana .....ila mbwiga anafurahisha ZAIDI !! NI UBUNIFU WA HALI YA JUU KUMTUMIA. " nakumbuka sana kisa cha "MBWA KANUNULIWA UKUBWANI" BIG UP MZARAMO !
 
Mbwiga wa mbwiguke..mkole wa nyani kibwaya mkia..mtu muongo muongo...midfield kisheti nikitak nautupa..nikitaka naomba mungu..we ulete tu kwangu..mi nachezea shimoni..mzee wa umate umate cross biliji...ha ha aha ahaaaaa jamaa ni zaidi ya comedian tena shabiki mkubwa wa KUALA LUMPAR aka YANGA!!!!!
 

hahaha kweli jamaa wanapumzi .. yaani baada ya game walikuwa wana troti
 
Kuna mtu alimuuliza yeye anashabikia timu gani hapa bongo? jamaa akasema kuwa yeye yukpo kama vidonge vya Tetracycline! yaani Yanga yupo na Simba yupo! kwa jinsi alivyotoa jibu papo hapo nikajua huyo jamaa ni noma kwa kuchonga
 
jamaa anafanya usafi kwenye uwanja wa azam chamazi...mtu wa watu coz yupo chaming sana!
 
Midfilder ya juu mido inayopiga
nje ya 18. Anatoa pasi huku
anaangalia huku kama muuza
madafu vile anachukua a huku
antengeneza dafu. Mido ya
kuongea asante, mwongo,
nzuri,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…