Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salute wakuu ,niende moja kwa moja kwenye mada je wewe unavyoona ni mtu gani anaweza kuwa raisi wa"awamu ya sita" kambi zote mnaruhusiwa,utoe na fact,matusi[emoji777]
usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
Kwani Mwigulu; Kigwa; Nyalandu hawapoMakamba ndo amesalia kwenye ile 42 kama unakumbuka waliochukua form na umri wake unaruhusu
Sijui hayo n mawazo yanguKwani Mwigulu; Kigwa; Nyalandu hawapo
SafiHatuhitaji mwingine. Ni yeye tu mpk Mr God aseme basi