Who is Said Salim Bakhresa (Azam)?

Who is Said Salim Bakhresa (Azam)?

jamii za kiarabu,kihindi na kipersia hawana muda na hawataki kusaidia jamii inayowazunguka.ni wao na biashara zao tu,kiujumla hawafai,maana wapo wanaexploit tu,kama ikitokea asaidie basi atapeleka kwa waarabu wenzio.

Tunatakiwa tuwe na kiongozi awatimue kama alivyofanya iddi amini
Acha ubaguzi, hospitali za Regency, au Aga khan za watu weusi? Hebu mtaje mtanzania mweusi hata mmoja aliyejenga hospitali halafu akaifanya ya BURE kama zilivyo Temeke, Amana na Mwananyamala.
 
Bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.So a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.

mkuu vp umesahau azam fc au hyo ni kambi ya jkt?
 
Nieleze kwanini Steve Jobs alirudishwa kuwa CEO wa Apple?Ila kwa kumbukumbu
yangu sidhani kama Steve Jobs alirudishwa Apple kwa sababu yeye alikuwa ni mmoja
wa waanzilishi.Niko tayari kurekebishwa!Na ungenipe source ya yote utakayonieleza
nitashukuru!

on top of that mkuu mwambie kuwa business ni legal entity separate from its owners, and hw abt going concern? Mwambie kwanza arudi kwanza shule halaf ndo aje tena kuchangia
 
Kwa mujibu wa mafundisho ya waislamu HALAL ni vile vyote vilivyoruhusiwa(sio lazima iwe vyakula), HARAM ni vile vyote vilivyokatazwa. Ukibandika label ya HALAL kwenye bidhaa maana yake unamuondoa mashaka yule ambaye hana uhakika na u-HALAL wa kile anachokusudia kukinunua kwa mujibu wa imani ya dini yake, lakini haina maana kwamba vile vyote visivyokuwa na lable ya HALAL basi ni HARAM, vingine HARAM na vingine si HARAM.

nani anatoa hizo label za halal, ni TBS?
 
Bakhresa japo ni tajiri bado ana roho ya kimasikini ukilinganisha na historia yake. Ni hayo tu kwa sasa
 
ni mchawi kinoma, mdini kishenzi..wanaofanya kwenye kiwanda chake, ikifika saa saba tu wote mnaambiwa mwende kuswali, pia ana misukule maelfu wanafanya kazi usiku kwenye hizo viwanda vyake....majini kibao...wanawake wengi wanaofanya kazi pale wamepoteza mimba wakifanya kazi pale, utakuwa wakati mwingien mtu anakuwa mjamzito inaenda kuporomokea palepale...kuna mtu namfahamu anasema, wakati mwignine mnakuta madamu yakafara yamo mle kiwandani...ajabu ajabu...
 
ni mchawi kinoma, mdini kishenzi..wanaofanya kwenye kiwanda chake, ikifika saa saba tu wote mnaambiwa mwende kuswali, pia ana misukule maelfu wanafanya kazi usiku kwenye hizo viwanda vyake....majini kibao...wanawake wengi wanaofanya kazi pale wamepoteza mimba wakifanya kazi pale, utakuwa wakati mwingien mtu anakuwa mjamzito inaenda kuporomokea palepale...kuna mtu namfahamu anasema, wakati mwignine mnakuta madamu yakafara yamo mle kiwandani...ajabu ajabu...

acha ujinga wako we!
 
ni mchawi kinoma, mdini kishenzi..wanaofanya kwenye kiwanda chake, ikifika saa saba tu wote mnaambiwa mwende kuswali, pia ana misukule maelfu wanafanya kazi usiku kwenye hizo viwanda vyake....majini kibao...wanawake wengi wanaofanya kazi pale wamepoteza mimba wakifanya kazi pale, utakuwa wakati mwingien mtu anakuwa mjamzito inaenda kuporomokea palepale...kuna mtu namfahamu anasema, wakati mwignine mnakuta madamu yakafara yamo mle kiwandani...ajabu ajabu...

ndio maana situmii bidhaa zake. kwa nini watu wa jamii za kiarabu hupenda sana mashetani?
 
Nasikia wakati wa Ramadan anawapa wasio na uwezo mchele, ngano na mafuta pale msikiti wa aljumaa kariakoo. nenda hapo unaweza kubahatisha kuiona sura yake wakati wa ramadan.
 
Acha ubaguzi, hospitali za Regency, au Aga khan za watu weusi? Hebu mtaje mtanzania mweusi hata mmoja aliyejenga hospitali halafu akaifanya ya BURE kama zilivyo Temeke, Amana na Mwananyamala.

ni za watu weupe,ila si za baresa,hana hata shea,na wala hajachangia-bora Mengi anajenga institute yake-
na pia kumbuka hizo zote hazitoi huduma bure-kama huamini nenda hapo leo kama watakuhudumia bure
 
Hhahaha!!!bongo bana ukijichanganya shida ukipiga kimya tabu!kwa kifupi bakhressa ni next level kwa utajiri kibongobongo hapa watu watasema watavyosema lakini salim atazidi kupiga hela na haingiliki kipimbi kama madon wengi wa kibongo...
 
nijuavyo mimi bakhresa ana misaada mingi sana kwa jamii. kama bado hajaacha najua kuna siku 2 katika wiki analisha wagonjwa ocean road. kwenye wahanga wa mabomu ya mbagala alisaidia milioni 100. hii niliona kwenye magazeti walipotoa list ya waliotoa misaada. ila yeye kama yeye huwezi kumuona anajitangaza, au uone picha yake somewhere. viwanda vyake vina wataalam kutoka nje. niliwahi kufanya kampuni moja zamani walikua wana supply bakery equipment, bakhresa ndio alikua mteja mkubwa. anaishi masaki, nyumba kubwa tu ya kifahari naweza kusema. watoto wake wamejenga nyumba oysterbay, Haile Sellasie road, karibu and nyumba za Tazama. Jumba kubwa la kifahari. kwa bongo Bakhresa ni tajiri asiye na makelele. vile hatujazoea tunaona kama sio tajiri, lakini ana pesa lazima tukubali.

Bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.So a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.[/QUOTE

....... anajenga misikiti, anasaidia wajana ikiwa pamoja na matibabu. ana timu ya mpira ambayo anaiendesha kisasa, ikiwapo na kituo (academy) cha mafunzo. mambo yake mengi ya kijamii anajitahidi kuyafanya katika mtizamo na nidhamu ya kiislaam (......sijui unanielewa hapo?) ........hana haja ya kujitokeza na matangazo, kama mengi anavyolisha maalbino.
 
Ile ngano kweli ilimwagwa lakini ilikuwa ni majungu na kama "alishtaki kwa Mwenyeezi Mungu" kama usemavyo basi Mungu alimuitikia kwani alilipwa fedha nzuri tu na Bima ya SGS kwani Ngano ilikuwa approved kabla ya kupakiwa na meli iliyopakia ilikuwa approved, yeye alikuwa hana kosa kabisa.

Mkuu Zomba utakubaliana sasa kwamba yale yalikuwa ni matokeo ya ubabaishaji,magumashi ya serikali inayoongozwa na ccm moja tu ya ambayo wadau wengi wanayapigia kelele na wewe mara nyingi umekuwa mtetezi? Back to SSB inshu,,binafsi namkubali
 
Nakumbuka wakti mmoja ngano yake shena nzima ilimwagwa jalalani chini ya ulinzi mkali. Sijui he rubbed shoulders the wrong way au vipi. Anyway in his usual customary down to earth manner kashitaki kwa mwenyezi Mungu.

Hapana, hakushitaki kwa Mungu, Mungu hahitaji kushitakiwa.

Bakhresa aliripoti alipouziwa hiyo ngano, wenye meli nao waliripoti, matokeo ni kwamba Bakhresa alililetewa ngano nyingine, kampuni zilizoleta hiyo hiyo (wauzaji na wasafirishaji) waka deal na sheria, aliye na makosa ikabidi alipe kila kitu. Ni nani? jiulize wewe.
 
Hello,

Je ulifanya tafiti ya undani kabla ya kuja na mada hii kuhusu S.S Bakhresa!? kwa sababu sijaona hoja ya msingi katika mada yako Mr.
 
Watu hupenda kusikia wanachotaka kusikia, so ni wazi kabisa "Hute" anasema alichokisikia ambacho yeye hana ufahamu nacho wala hakijui nakwa asilimia 100% hana ushahidi wa ku prove maneno yake, acheni mambo ya Hear says!
 
Back
Top Bottom