Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,956
Brutus:
Tofauti ni kwamba huko US Gore alishindwa technically kwea taratibu walizojiwekea wao. Kwetu ni kwamba hao CUF walishinda kwa taratibu tulizojiwekea wenyewe lakini wakanyang'anywa na akina Mkapa.
Sasa ili kupoza hayo makovu ya kunyang'anywa ushindi ndio mambo ya mwafaka yanakuja. Kwa hiyo kwa kifupi ni kwamba miafaka ipo Afrika kwa sababu kuna watu wamejipa hati miliki ya kuwa viongozi wa nchi zao. Siku watawala wakianza kukubali kushindwa ndio mambo ya miafaka yataisha. Na mimi nakubaliana na wewe haya mamiafaka hayana maaan.
Sasa angalia huko Kenya hilo limwafaka lao litamsaidia vipi mwananchi wa kawaida wakati wamepewa liserikali likubwaaaaaa ambao halina umuhimu wala ulazimu wowote!
Tofauti ni kwamba huko US Gore alishindwa technically kwea taratibu walizojiwekea wao. Kwetu ni kwamba hao CUF walishinda kwa taratibu tulizojiwekea wenyewe lakini wakanyang'anywa na akina Mkapa.
Sasa ili kupoza hayo makovu ya kunyang'anywa ushindi ndio mambo ya mwafaka yanakuja. Kwa hiyo kwa kifupi ni kwamba miafaka ipo Afrika kwa sababu kuna watu wamejipa hati miliki ya kuwa viongozi wa nchi zao. Siku watawala wakianza kukubali kushindwa ndio mambo ya miafaka yataisha. Na mimi nakubaliana na wewe haya mamiafaka hayana maaan.
Sasa angalia huko Kenya hilo limwafaka lao litamsaidia vipi mwananchi wa kawaida wakati wamepewa liserikali likubwaaaaaa ambao halina umuhimu wala ulazimu wowote!