KIMSINGI SALIM HATAKUBALI TENA KUGOMBEA URAIS..KWA SABABU HATA HII 20005 ALIGOMBEA KWA KUOMBWA....NA ZAIDI AKAKATISHWA TAMAA NA KAMPENI CHAFU ZA JK.....
HISTORIA ITAMPA NAFASI STAHILI...AANDIKE VITABU NA KUTOA MIHADHARA VYUO VIKUU ZAIDI SASA!![/B]
Mkuu FMESMkuu Kibunango,
Kwanza heshima mbele, niarudia kuwa Salim kwangu hafai kuwa rais wetu kwa sababu hana sifa zinazotakiwa, je unanielewa lakini sina tatizo kuwapa wanaotaka kunilkazimisha!
KIMSINGI SALIM HATAKUBALI TENA KUGOMBEA URAIS..KWA SABABU HATA HII 20005 ALIGOMBEA KWA KUOMBWA....NA ZAIDI AKAKATISHWA TAMAA NA KAMPENI CHAFU ZA JK.....
HISTORIA ITAMPA NAFASI STAHILI...AANDIKE VITABU NA KUTOA MIHADHARA VYUO VIKUU ZAIDI SASA!![/B]
Jumla ya mjadala huu mrefu na mkali umehitimishwa na maneno ya Phillemon Mikael kama yanavyosomeka hapo juu.
Wabaguzi wote wanampinga salim leo na walimpinga kwa sababu moja tu ..UBAGUZI.. LAKINI TUWEKE RECORD WAZI...SALIM NI SHUJAA WA TAIFA HILI!!! ..REKODI YA SALIM KUWA WAZIRI MKUU...pekee kutoka zanzibar ni wazi ..haitatokea tena..kwani uwaziri mkuu ni nafasi ya tanganyika....!! salim anajivunia utanzania kuliko uzanzibar ambao wabaguzi wanataka kiwe kigezo....kuwa mlezi wa ccm tabora inatosha kumuweka karibu na wananchi...
ukweli ni wazi baada ya zanzibar kuikataa nafasi ya kumpitisha salim...hatakaa atokee tena rais kutoka zanzibar..sioni mwenye sifa!!...zanzibar ndio walimpa ushindi jk...kura 500 alizopata salim ni za bara..zanzibar voted jk as a block ..walikuwa na kura 500 wangempa zote salim angeshinda au kungekuwa na re run ..na hilo lingetokea wapenzi 200 wa mwandosya wangempa salim na angeshinda !!!!...tatizo ni ile hotuba ya mwenyekiti mkapa pia ilimkandamiza salim na hii NI BAADA YA KINA JK MUFUATA MKAPA NA SECRET FAILI LAKE..LA AMBAYO HATA HIVYO YAMEISHIA KUIBULIWA LEO!!!ukweli ni wazi kikwete alishinda primaries kwa hila na majungu ..na ndio ameyakalia hadi kesho...sidhani kama atakuja kuwa kati ya mashujaa wa taifa letu!!!
1.
Mkuu Philemon,
Heshima yako mkuu, hivi mkuu kweli huoni kuwa hayo tu hapo juu yanatosha kumaliza mjadala huu juu ya uwezo asiokuwa nao Salim, kuweza kuwa rais wa Tanzania, kwa sababu kutokuwa kwake na base ya siasa visiwani ambako kunamhusu zaidi kuliko bara ni makosa ya nani kama sio yake mwenyewe?
2.
Now this is another Salim problem, I assume ni kweli aliyafanya haya, lakini inakuwaje sasa hakuna record kabisa, wakati record zaske za nje zote zipo wazi?
3.
Salim anaziweza siasa za huko UN na OAU, lakini za Tanzania haziwezi, lakini Dr. Slaaa anaziweza siasa zetu na record iko very clear, labda tu tumtakie Salim tu aendelee vyema na siasa za huko nje.
"I do want to write, but not my memoirs. The problem with memoirs is that people talk to me in confidence about sensitive issues, including what are deemed top state secrets. I cannot betray their trust," he explained. "Moreover, I will inevitably annoy, even anger, many people if I do so. Prickly events are still fresh in people's minds, others ongoing. Many distinguished personalities in Africa and abroad might feel embarrassed if I write freely and honestly about my experiences working with them or about the roles they played in the often turbulent and controversial developments that swept the continent in the past decade. Too many feathers will be ruffled at this particular historical juncture,"
1.
Very strong point, lakini ndio political realities za bongo, ambazo tunajua ziliko anzia, lakini great education.
The system has been bastardized and rigged from the beginning that if you are honest you are the 'sissy' and if you are a thug you are rewarded!
Susuviri,
Ni nani aliyetufikisha hapa? What Salim has to say kuhusu wizi wa uchaguzi kule visiwani mwaka 1995?
Dr. Salim Ahmed Salim, who concluded his term of office as Secretary General of the Organization of African Unity on 17 September 2001 after serving an unprecedented three terms covering a period of twelve years, is now involved in several activities. He has functions and responsibilities at national, continental and international levels.
mkuu salim close allies can still advise him to write his memoirs inspite of the fact that it may tend to uncover many secrets..yet he can go ahead..i dont see a prolem if he write the memoirs today and release them 15 years later..hata secret files za secret service huwa zinafunguliwa baada ya miaka 25 hadi 30..naamini akiandika leo hadi kuja kuzindua kitabu siri nyingi zitakuwa zimepita kwa sababu tangu amestaaafu ni miaka mingi sasa..in his presence or without..the mentality he has may end up depriving tanzanians,african and general world the right access to his experience
Swali zuri sana na niko tayari kufungua thread mpya kujadili hili. Lakini kwa kifupi mimi naamini system hii ilianza baada ya kifo cha Nyerere. Kukawa sasa hakuna yule Benevolent Dictator ambaye alikuwa anatuambia tufanye nini na vipi. Sasa tukabaki kuona viongozi wetu walivyo na uchu wa madaraka ambapo kila mtu anajiona sawa. Muhimu ikawa sasa kutishiana nani mbabe zaidi, au wananchi wanamkubali nani etc.
What Salim has to say kuhusu wizi wa uchaguzi kule visiwani mwaka 1995?
- Naomba nionyeshe data nilizopata huko UN:
Quote:
Dr. Salim Ahmed Salim, who concluded his term of office as Secretary General of the Organization of African Unity on 17 September 2001 after serving an unprecedented three terms covering a period of twelve years, is now involved in several activities. He has functions and responsibilities at national, continental and international levels.
Hivyo ninavyoelewa alikuwa nje ya nchi mwaka huu wa 1995. Sidhani kama ilikuwa vyema kwake kuzungumzia masuala ya ndani ya nchi zaidi ya kusihi pande zote mbili (CCM na CUF) wakae chini na kufikia maelewano au muafaka.
Halafu He Is Too Clean And Straight Forward Haya Mambo Ya Kitanzania Yatampa Pressure Bure, Mwacheni Atulie, Tunaapreciate Sana Kazi Yake.
FMES, it doesn't have to be that way!!! Zitto amezungumzia hapo awali kwamba tatizo ni mfumo uliopo. Siasa za Tanzania si kwamba ni chafu na unahitaji kuwa mjanja, ni kwamba it is tasteless, exploits the poverty and ignorance of people, ni ya kubabe na cha character assasination.
Ukiniambia mbona nchi zingine ziko hivyo sikubali kwa upande wa nchi ambazo tunaona wamekomaa kisiasa kwani there's a strong media, si wale wanaonunuliwa na akina RA kwa sh laki 5 -laki 5!
Salim was ready to play the political game, but a proper one si ya kishenzi kama ya Bongo. Eti kuwalipa takrima mashabiki waje kumbeba anapozunguka mikoani, na kuwalipa laki 5 waandishi. Alikataa akijua that it is WRONG, sasa according to your argument hii ndio kosa lake!? Alafu tunalia na Kikwete na ufisadi! Si ndiyo inapoanza. Kama mtu ata-purchase urais unafikiri tutapata rais gani? He has already paid to be elected, so wananchi: SHUT UP and watch him loot himself sick with his buddies, si walitumia hela nyingi kumfikisha alipo? Do you see how sick the system is? Do you agree that this is not a healthy environment for a decent person to run for presidency? Tatizo wabongo we don't call a spade a spade, tunaleta unafiki tu, eti Kikwete alishinda! NO he paid for the kura and CCM members were ready to sell democracy and the future of our country down the river for a few millions, secrets to remain secrets, etc We are now paying the price alafu tunamlaumu Kikwete! No, si mlimsifia na kum-reward yeye and his cronies that they know how to 'play'the game. Unafikiri with this argument what kind of leaders can we expect?
I accept and respect your opinion kwamba unaona SAS hafai kuwa rais, even though I think otherwise, lakini naona kama unataka kumpunguzia sifa unfairly just to make a point. Mi nadhani kila mtu amekubali mchango wake SAS, swali labda does he have the temperament and is ready to sink as low to become president? He answered No! Alafu mnasema ni arrogant? I think he was smart enough to assess what happened and realized that politics in Tanzania is immature, brutish and childish.
Mi nasema unless we change the system and say ENOUGH to such base politics tusitegemee kupata viongozi bora. Hata Slaa, Zitto na other opposition figures wataendelea kuota ndoto tu ya kutawala! Alafu mnauliza kwa nini hawashindi? The system has been bastardized and rigged from the beginning that if you are honest you are the 'sissy' and if you are a thug you are rewarded!
Nilishasema it is our loss not SAS's loss.
This was a very good discussion!
Hata hivyo jitihada zao zinapigwa vita na kuna watu wanaamini kabisa kwamba wanaopata elimu hiyo ni watu wachache sana labda tone ktk bahari na utawakuta hapa JF na baadhi ya vijiwe (blogs) lakini sio ktk vyombo vikuu vya habari kama vile TV na magazeti yanayowafikia wananchi hadi vijijini...Ni kazi nzito sana..