mxrereco
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,906
- 3,986
Andika kinyerere nikueleweIt make a lot of reasons
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika kinyerere nikueleweIt make a lot of reasons
Tulia mkuu hii vita haitaisha hadi iisheHizi mada Zina kera Sana, mbona mna wadiss kupita kiasi?!.
Tena wengine mna vuka mipaka Sana Hadi kuwa tukana.
Cha kushangaza chanzo ni nyie nyie tu.
Inamaana wanandoa ambao mume anasafiri sana ila anatoa huduma zote za kifedha mke ni single mother?Mtoto haitaji pesa tu, anahitaji pia muda wa kukaa karibu na wazazi wake wote wawili kama bado wapo hai bila kujali wameachana au lah
Kiinglish katika title kuna article imesahaulikaHeshima kwenu wana jamii....
Hili swali huwa linanitatiza. Je nani ni single mother? Nini maana ya single mother?
1. Ni mwanamke aliyezaa nje ya ndoa na hajaolewa na hapati matunzo ya mwenza?
2. Ni mwanamke aliyezaa na hajaolewa hata kama anapata matunzo ya mwenza?
3. Ni mwanamke aliyezaa hapati matunzo na hamjui baba wa mtoto?
4. Ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na hana mahusiano na baba ila ana mahusiano na mwanaume mwingine?
5. Ni mwanamke aliyeamua kuzaa tu na akaamua kuwa na mtoto wake na hamtaki baba?
N.k
Je single maza ni nani? Je jamii inachukuliaje? Na singo maza anachukuliaje mpaka ajiite single maza?
Nawasilisha.
upo sahihi, mtoto anapenda aone mama na baba wapo pamoja. Awaone wanatoka asubuhi chumba kimoja na kulala kitanda kimojaMtoto haitaji pesa tu, anahitaji pia muda wa kukaa karibu na wazazi wake wote wawili kama bado wapo hai bila kujali wameachana au lah