Hatajwi mtu hapa.mtaje Tu tumjue!!
Tafuta na weweWatu na ma-crush wao asee.
Mimi nitakuwa wa piliHalafu nimetajwa na mtu mmoja ujue loh!!!
Kabisa.Mimi nitakuwa wa pili
hiyo inatokana na kuingia jf Kwa kuvizia vizia mfano umekaa nje ya jf karibia wiki so unakuwa km unasahauliwaKabisa.
Na hiyo inanidhihirishia wazi kwamba sifahamiani na watu humu mjini Jeiefu.
π
Wacha nipAmbane ndugu yangu hakuna namna..hiyo inatokana na kuingia jf Kwa kuvizia vizia mfano umekaa nje ya jf karibia wiki so unakuwa km unasahauliwa
hauko active sn
Asante Le professel ππ
Nipo humu kila siku,haunioni tu πThanks too.
Umekuwa hadimu sana humu jukwaani.
Au ndo ukubwa π ?
Basii utakuwa unapita kimya kimya tu.Nipo humu kila siku,haunioni tu π
Waeleze hao wakuelewe.Wachungaji tupo hapa wa kuwaombea baraka.Haleluya!Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..π
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them π
Mie hamna, ila tu kuna watu ninaowakubali kutokana ujuzi wao juu ya masuala fulani.Tafuta na wewe
Yaah goodMie hamna, ila tu kuna watu ninaowakubali kutokana ujuzi wao juu ya masuala fulani.
Hizo comments za kikauzu ndio sijawahi kuelewa zinakuaje kuaje manake mie naandika kawaidaBasii utakuwa unapita kimya kimya tu.
Nilimiss reply na comments zako, especially zile za kikauzuuπ
Basii tu unaziandika normal but zinasound hivyo.Hizo comments za kikauzu ndio sijawahi kuelewa zinakuaje kuaje manake mie naandika kawaida
NikutajeMie ndo sina crush [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nahama JamiiForum akii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]