financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
πππ uliiona ile picha kumbe, ndiyo tunakoishi sahivi tumehama from kumwambaπIle picha ya pikoko akili ilinikoroga sana, kumbuka huko nyuma nilikuponda kuwa ukammanya Sumbi[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndi kwa Tenende karibu na Mwaya. Karibu sana[emoji23][emoji23][emoji23] uliiona ile picha kumbe, ndiyo tunakoishi sahivi tumehama from kumwamba[emoji23]
Ahsante mkuu, ntakaribiaaNdi kwa Tenende karibu na Mwaya. Karibu sana
Anakufananisha na ufuta ππ dhihaka hiiπ₯°π₯° shukrani
hahahahahahaha,nitaje basiHahahahaaaa!!
ππ UmeanzaAnakufananisha na ufuta ππ dhihaka hii
ππ Hapana dada akeππ Umeanza
Vile vi midoli vizuri vya kizungu[emoji4]Thakyuuuuh.
Hebu nambie "animation " maana ake nn??
Mie ndo sina crush [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nahama JamiiForum akii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
π π π sawa i have toTrust me unae
@yna2Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..[emoji4]
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them [emoji38]
Ooooh thankssss moah!!!Vile vi midoli vizuri vya kizungu[emoji4]
ππππAsee manengelo sijui a.k.a nzulat huwa namkubali sana mdada huyu
Kwa wakaka kwa kweli siwez kutaja maana naweza kutaja kumbe nikaharibu badala ya kujenga...
Kwanini kipenzi changu shetani??Nakadori nitamuombea kwa Mungu kama kuna ufalme wa mungu auone
Ooooh thankssss moah!!!
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33Kwanini kipenzi changu shetani??
πππ"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33
Wewe ni mti wenye matunda kwa maana huna makuu mcheshi na mpole kinachonifurahisha mm ni mfuasi wa nyuzi zako nazipenda saana hapa jukwaani