Who is Your JamiiForums Crush?

Who is Your JamiiForums Crush?

Habari wanaJamiiForums..!!

Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.

We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.

Mtaje tu..[emoji4]

NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them [emoji38]
@yna2
 
Kwanini kipenzi changu shetani??
"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33
Wewe ni mti wenye matunda kwa maana huna makuu mcheshi na mpole kinachonifurahisha mm ni mfuasi wa nyuzi zako nazipenda saana hapa jukwaani
 
"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33
Wewe ni mti wenye matunda kwa maana huna makuu mcheshi na mpole kinachonifurahisha mm ni mfuasi wa nyuzi zako nazipenda saana hapa jukwaani
🙏🙏🙏
Na mm nakukubali shetwainn
Me sinaga makuu mwaya
Makuu waje nayo
 
Back
Top Bottom