James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Technically, hapa umemtaja Melo. Au hizi movie za kijasusi hazijanisaidia kitu kutambua huu ujumbe ktk hii comment yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Melo sijui anajua kama humu kijijini kwake watu wana ma crush
Aiseee sijui itakuaje[emoji38]
haha mkuu umenifungua na mimi, hiyo code ilikua ngumu sanaTechnically, hapa umemtaja Melo. Au hizi movie za kijasusi hazijanisaidia kitu kutambua huu ujumbe ktk hii comment yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hutaki nipandishwe cheo niwe hata moderator jamanTechnically, hapa umemtaja Melo. Au hizi movie za kijasusi hazijanisaidia kitu kutambua huu ujumbe ktk hii comment yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeeee nalitafuta jina la crush hapa namtag muda sio mrefu ila Melo anajua lakini mnayoyafanya humu ndani?😆haha mkuu umenifungua na mimi, hiyo code ilikua ngumu sana
Thank you for your candour.BelindaJacob japo sijui umri wake
lara 1 simulixi zake zinasisimua
@binyi mmoja anapenda kusoma vitabu na upstairs anaonekana yupo vizuri ana mada yake ya usomaji vitabu.
King'asti am miongoni nwa mabinti wakongweakishirikiana na wenzake kina @ wakichangamsha jukwaa la malavidavi hapa jamiiforums
Hao ni kwa uchache
❤️Thank you Mac Alpho
Weka alama ya at(@) Ushindi victoryJaman anayejua jinsi ya Kumtag mtu JF anifundishe nimtag FINANCIAL SERVICES[emoji23][emoji23][emoji23]..mwana kyela mwenzangu huyu[emoji38][emoji28]
Ngoja nikimuona kwenye huu uzi nitamtagUnaubebesha moyo mzigo mzito mkuu
Alafu ukute haka kajamaa ndiyo kiongozi wa ukoo
Nipo hapa kusoma crush wa watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]