Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huyo ni crush wangu 🙊🙊Ivi Watu8 mliachana au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni crush wangu 🙊🙊Ivi Watu8 mliachana au
Na mkoani nimeolewa Ila sio kiivyo 😂😂😂Hahaha kwa hiyo unae mume mkoani?
Abeee
Umeanua kunikazia?Usimwage mchele kwnye kuku wengi sasa jaman
Mimi nimesema ukweli bana kama wewe unapenda wanavyocrushiana bila kutuambia ni wewe me sipendi jaman…Hahahaahah yaani wewe ni mjinga hahahahaa umenifanya nionekane kichaa kwa kucheka, umewaza mbali. Kuna umuhimu sana wa kushirikishana haya mambo mapema
Kukukaziaje tena?Umeanua kunikazia?
Huyu ni pro kabisa kwene hii sanaa.Ukibahatika kupiga threesome nae utapaga...ni wa moto hatari
Sawa sawa mkuu uje umejipanga kweli kweli maana ni balaa huyu mrembo. ujue na budget ya vinywaji na nyama choma maana thressome bila vijipombe kidogo hainogi.huyu ni pro kabisa kwene hii sanaa..
mkuu utanipa location mapema weekend sio mbali tukapige show
mzabzabHabari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them 😆
Dah kumbe na mie kuna mtu ana crush towards me.....njoo basi pm
Mkuu Chakorii naomba umwache kabisa usimguse tafadhali..naweza kukuloga
Nakadori hunibamba ile mbaya sema ndo hvo sinaga nyotaHabari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them 😆
na mtoto anajua kucheza na de libolo hatariNakadori hunibamba ile mbaya sema ndo hvo sinaga nyota