Who is Your JamiiForums Crush?

Who is Your JamiiForums Crush?

osmaney

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2017
Posts
1,042
Reaction score
998
Habari wanaJamiiForums..!!

Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.

We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.

Mtaje tu..😊

NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them 😆
 
BelindaJacob japo sijui umri wake
lara 1 simulixi zake zinasisimua
@binyi mmoja anapenda kusoma vitabu na upstairs anaonekana yupo vizuri ana mada yake ya usomaji vitabu.
King'asti am miongoni nwa mabinti wakongweakishirikiana na wenzake kina @ wakichangamsha jukwaa la malavidavi hapa jamiiforums
Hao ni kwa uchache
Wakiamka watakutana na ujumbe wao hapa.
 
Habari wanaJamiiForum..!!

Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwalete mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.

We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kua mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.

Mtaje tu..[emoji4]

NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them [emoji38]
Ngoja leo nimtaje...... ila basi.
 
Back
Top Bottom