Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Asakuta Same au?Atakaecrush na mme wangu tutagombana, am vere sirias tutagombana sana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asakuta Same au?Atakaecrush na mme wangu tutagombana, am vere sirias tutagombana sana.....
Mhmhmhmhmhmhhmhm?! Haya crush!! Nenda kanifanyie wepesi kule sasa nnNina hii tu mama
Yani sikupendiiii😅😅Kwendraaa
Maana chuki zako kwangu ni bureee…
Yan mpaka umejua nilikunywa hibiscus tea means unanifatiliaaa?? 😅😅😅
Sasa nani anakupenda..Yani sikupendiiii😅😅
Jenga taswira wewe, vikipishana lia na moyoNimeacha haka katabia, kanaweza kukufanya ujenge taswira tu halafu...🤣🤣
...japo nna crush wangu...!
Mbona Harmonize kabembeleza mpaka kaweza.??
Poa, habari ya wewe?Mambo besty
Nlikuwa sijaona...
🤣no reason, just love you 😜We hiyo ‘Love u yako ina kasababu gani 😅😅😅
Consider it done my lady.Haha nihamishie mlima kilimanjaro baba wee
Usiseme kwa sauti bwana makaveli10 atakuskiana mtoto anajua kucheza na de libolo hatari
HaaahaaaWe nenda tu kaibe hati ya baba yako uuze nyumba halafu ukishamaliza nitafute kabla hujaenda bank tushauriane
Uje darConsider it done my lady.
Unataka tukauweke wp?