Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Pole mpendwaSijapata mtu,ila kama atajitokeza ani "pm"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mpendwaSijapata mtu,ila kama atajitokeza ani "pm"
Muulize kama nishawahi kucheza na yake hadi aseme ninajua?😂 😂 😂
🙂 🙂 nipo njiani nakuja nyumbani.. ila unapungua pungua ukorofi jamani sio kama zamaniUna ukorofi ambao sijapata tiba yake
Unasemaaaa.. Ongeza sauti kidogoKama hayasikii itakuwa vizuri
HahahaUnasemaaaa.. Ongeza sauti kidogo
😂 😂
Asante,nahitaji mtu "serious'Pole mpendwa
mzabzab swali lipo kwako, leta jawabu.Muulize kama nishawahi kucheza na yake hadi aseme ninajua?
Uzee unapiga hodi umepoa🙂 🙂 nipo njiani nakuja nyumbani.. ila unapungua pungua ukorofi jamani sio kama zamani
Hapana mzee, zaidi ya kkuchangamsha jukwaa hapa, hakuna cha ziada.Mbona wacheka...ulishamkula kimasikhara nini🤣🤣🤣🤣
Eti Nakadori ...tupe mrejesho
Aahh.. Kumbe hicho tu, njoo uchukue, siku nyingine useme kwa sauti nikusikieHahaha
Sasa aniulize mimi najua nini mimi, tungemuuliza yeye aliyesema unajua kulikalia liboro fcMuulize mwenyewe akijibu uniite
Kipii? We nae umechanganya mambooAahh.. Kumbe hicho tu, njoo uchukue, siku nyingine useme kwa sauti nikusikie
😂
Mtu serious utampata kupitia Jf mkuuAsante,nahitaji mtu "serious'
Ule uzi nilicomment mwanzoni kabisa uzi ulivyoanza,ajabu mods walifuta comment yangu teh!Uzi wa kula tunda kimasihara mrembo
😂 😂Kipii? We nae umechanganya mamboo
Ngoja aje atoe majibu...na alete na evidence kabisa kama ni hvoSasa aniulize mimi najua nini mimi, tungemuuliza yeye aliyesema unajua kulikalia liboro fc
HunipendiKukukaziaje tena?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂 😂
Ongeza sauti banaa.. Mwenzio sikusikii vizuri hivyoo..
Unataka nini, unasema maji ya kunywa...!??
😂 😂