ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Basi na mimi hii ishara naitoa, ni ishara nzuri😍🤩Makopa, ishara ya upendo my dear
Nipo sana labda tunapishana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi na mimi hii ishara naitoa, ni ishara nzuri😍🤩Makopa, ishara ya upendo my dear
Nipo sana labda tunapishana
Hapo Liborosia imekaa kama wale wanaonena kwa lugha 😁tamka kindikinya liborosia
❤️❤️....much love😉
😅 kuna mnenaji anaitwa liborosia?Hapo Liborosia imekaa kama wale wanaonena kwa lugha 😁
Mbona unanitesa hivi lakin Kelsea [emoji22]Makopa, ishara ya upendo my dear
Nipo sana labda tunapishana
Aisee..kwa heshima na taadhima naomba kukualika kwenye threesome yangu na mzabzab this weekend....
Hujambo..
Sijambo? Mambo?Hujambo..
Ukijichomeka tu umeliwaWatu wamevuta age humu unaweza kutamani bibi yako
Safi kabisa...Sijambo? Mambo?
Poa mkuuSafi kabisa...
🤣🤣🤣Watu wamevuta age humu unaweza kuvutiwa na bibi yako kisa avatar ya mdoli
Unakuta mtu ni joined 2010 we unajidai unavutiwa nae wakat ye anajiunga JF we hujafanya hata mtihani wa darasa la 7 si laana hiyoUkijichomeka tu umeliwa
Watu wanavutiwa tu si lazima kuduuUnakuta mtu ni joined 2010 we unajidai unavutiwa nae wakat ye anajiunga JF we hujafanya hata mtihani wa darasa la 7 si laana hiyo
Mkuu ni umri tu mengine yako sawa😁😁Unakuta mtu ni joined 2010 we unajidai unavutiwa nae wakat ye anajiunga JF we hujafanya hata mtihani wa darasa la 7 si laana hiyo
Umri na kuduu ni vitu tofauti...kuna umri umesogea ila bado sanaa..Watu wanavutiwa tu si lazima kuduu
UmeonaaUmri na kuduu ni vitu tofauti...kuna umri umesogea ila bado sanaa..