Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
We mzee si nimekwambia sitaki uniulize ninachochekea [emoji1787]Halafu we mtoto, basi niambie tucheke wote mama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mzee si nimekwambia sitaki uniulize ninachochekea [emoji1787]Halafu we mtoto, basi niambie tucheke wote mama!
Shunie nitakupa dhawadi..haha niambie basi!!We mzee si nimekwambia sitaki uniulize ninachochekea [emoji1787]
Niambie basi we mzee dhawadi gani kwanza utanipa [emoji847]Shunie nitakupa dhawadi..haha niambie basi!!
Nimeacha haka katabia, kanaweza kukufanya ujenge taswira tu halafu...🤣🤣
...japo nna crush wangu...!
Hahaha, furahia mkuu. Uzee nao haujatuacha salama.🤣🤣Hahahah...
Nimecheka sana...JF hatari sana
Namfaham sana...😂😂Daah!! Hadi nimemkumbuka crush wangu, siku hizi sijui kapotelea wapi!!
Popote ulipo Mungu azidi kukutunza genius.
We sema nini unanicheka we mtoto!Niambie basi we mzee dhawadi gani kwanza utanipa [emoji847]
Mambo yako? Hatimae nimekutaja crush wa mimi
Eeeh!?Mambo yako? Hatimae nimekutaja crush wa mimi
Ndiwoooo[emoji7]Eeeh!?
Kweli kuwa mimi ndio krash wa mtoto mzuri.? [emoji2956][emoji2956][emoji7]
Hatimae crush wangu umejitokeza🤣🤣🤣Namfaham sana...😂😂
Juzi juzi tu hapa niliona comment yake sehem!!
mdogo wangu ushaanza mambo yako...!Abeee
Nimuite?😂Hatimae crush wangu umejitokeza🤣🤣🤣
Hujambo?🙈🙈
yo missed couzin..!!Naomba nisiseme chochote kwa maslahi mapana ya taifa!