cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka utanue mapafuu uduguu, chuki na makasiriko sio shida zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ujue mwenzio nacheka hapa km chizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka utanue mapafuu uduguu, chuki na makasiriko sio shida zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ujue mwenzio nacheka hapa km chizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka utanue mapafuu uduguu, chuki na makasiriko sio shida zetu
Vicoba vya nini tena wakati wewe ni wife tayari na unasema nyie ni mapambo hivyo kuhudimiwa na lazima. Tulia upate huduma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nastaafu sasa, urithi nshakupaa.Uduguu jf ikifika mchana lazima kuchachuke sijui kwanini? Mimi mbavu zinaniuma [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nastaafu sasa, urithi nshakupaa.
Nahamia kwingnee sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hebu tulizanaa kwaniii.Uduguu tulia tuburudike kabla hatujaenda kwa mama bhoke [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikae kwa kutulia, babe wangu kanstuaa.
Kuna Ban zinanukia hapaaa.
Basi balaaa alafu hela zenu mwapeleka wapi maana bora sie wanaume tunajua kuwa hela zetu zinaishia kwenye mbususu za michepsWanawake kwenye pesa haturidhiki! Tuna vicoba, kausha damu, black hadi chupi mkononi [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi balaaa alafu hela zenu mwapeleka wapi maana bora sie wanaume tunajua kuwa hela zetu zinaishia kwenye mbususu za micheps
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee na hizo heka heka za kufunzwa ukubwani, ndo ataanza na wee hapo. WoiiiiihMwambie mimi asinipige nitakonda kwa mawazo, sonona ya kuikosa jf ni mbaya unakufa haraka [emoji18]
Daaah ni huzuni sana, twende tukashtaki kwa samia jamaniiii [emoji24][emoji24][emoji24]Sitaki kuamini [emoji24][emoji24][emoji24]
Bro iam out too😂🤣Acha nijongee maeneo nikapate cappuccino kwa afya hili saga malizana nalo tu.
Wakati mpenda ugomvi Ni wewe😂🤣Mimi ngoja niondoke mida ya mume kukatiza, nisije kupewa talaka bure. Wanaume wenyewe wachache [emoji23][emoji23]