WHO Kenya: coronavirus vaccine trials ongoing in the country

WHO Kenya: coronavirus vaccine trials ongoing in the country

Wapumbavu tu ndio wanaweza kutumia lugha hii,eti wataalam wa kenya kwa kushirikiana na wale wenzao wa uingereza wamepanga kufanyia majaribio dawa ya corona iliotengenezwa uingereza. Dawa imetengenezwa uingereza unajiitaje mtaalam na kudiliki kufanyia majaribio dawa iliyotengenezwa nje c sawa tu na kutumika wakenya panya wa majaribio, utumwa kweli si kitu chema unakua mtumwa mpaka kimawazo
 
kuna suala la ku-induce antibodies! lazma kutakuwa na sort of kudungwa sindano!
Iwe sindano au vidonge ambavyo havijatengenezwa na wataalam wa ndani kwa Nchi inayojitambua haiwezibkufanyia majaribia raia wake
 
Back
Top Bottom