Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Nimeshindwa kusoma,lugha mbili sehemu moja,unaandika kama unaongea tutakuelewa vipi?
Wakati mwingine watu tumechoka na shughuli zetu,sasa ukiweka uzi mrefu na bado umechanganya mambo hapo unapoteza wasomaji.
 
Shukuru mungu you are insignificant na Vanessa hajui kiswahili wote mngelimwa law suits.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sue me? For what cause of action ? Tell me msomi.

Anyways hata Marekani watu wameanza kuandika kuhusu nilicho kiandika and no one has sued them. So ur opinion is invalid.

Lastly: You are very right dadaI.am.not INSIGNIFICANT because I am

OUTSIGNIFICANT
 
Out of topic
Jifunze tofauti ya May be na Maybe. Wengi mnachanganya. Sorry if I might have wronged you kaka!
 
Wabongo sijui tumelongwa, kuua siyo rahisi hivyo wanavyowaza
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushazoea kupata siku zako kila mwezi basi unajua kila kitu kina siku zake. Mtu anaweza kuwa kauwawa wewe unabisha..Evidence za kifo chake zipo wazi mno
Kwani Kobe ndio mwafrika wa kwanza mwenye pesa kuoa mwanamke mweupe? Acha maneno kile ni kifo tu kama vifo vingine, siku zake zilifika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema yote but the possibility that Kobe was assassinated is very big
If at all we are talking about possibilities, accounting for quantum effects and the Hugh Everett many world interpretation, the possibility that you WERE assasinated is very high also.
 
Wabongo wengi wanapenda speculations za mambo wasiyoyajua mbele wala nyuma.
Wazee wa "nyuma ya panzia" hawa ni mabingwa wa kutengeneza habari hasa kwenye vifo.

Alafu kuna wazee wa Fremason,hawa sasa ndio vichaa kila kitu freemason,wako tayari kukata gogo huku wakiwa wamesimama,siku wakisikia kuchuchumaa ni mkao wa freemason.
 
Ni matokeo ya ujinga uliokubuhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…