Dunia na ulimwengu ni mali ya Mungu LAKINI shetani tangia ashushwe duniani ndo anaicontrol dunia JAPOKUA sio mali yake ni amepewa tu mamlaka ya kuitawala but sio yake....nasema hvyo kwa kuzingatia hata akati shetani anamjaribu Yesu jangwani alimuonyesha Yesu falme zote duniani na alimwambia Yesu ukinisujudia nitakupa vyote hivi vitakua vyako...Yesu akajibu imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.