Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,156
Kwa level ambayo dunia imefikia kwa sasa sio rahisi kuamini kwamba hadi sasa dunia imeshindwa kupata dawa au njia sahihi ya kuthibiti kirusi cha Corona. Ikumbukwe kuwa jamii ya kirusi hiki kipo tangu siku nyingi kitu kinacholeta ukweli kwamba tayari wanasayansi walikwishafanyia utafiti siku nyingi jamii ya kirusi kinachofanana na kirusi hiki.
Sasa haiingii akilini kila siku WHO na mashirka ya kimataifa yanasisitiza zaidi nchi kutoa takwimu za walioathirika, kupoteza maisha na wanaopona na wanafikia hatua ya kutilia mashaka idadi za vifo kwa baadhi ya nchi badala ya kusisitiza uharakishwaji wa kutafuta dawa kuokoa maisha ya watu. Hapa ndipo siasa ilipo.
WHO imekuwa kama agent au middlemen wa mataifa makubwa kuwatengenezea soko kwa kulazimisha nchi zihesabu idadi ya wateja waliokwishaingia sokoni wakati wababe wa dunia wakiendelea kugombana nani dawa yake iingie sokoni. Na kwa vyovyote vile Marekani anahofu china asijekuteka soko la corona kwa kuuza mashine na dawa maana atakuja kupindua meza ya kuwa kiongozi wa dunia
Dunia inaelekea kurudi kwenye utaratibu wa kawaida kwa kuondoa masharti yaliyowekwa awali lakini siku hadi siku takwimu zinazidi kuongezeka duniani kote, sababu zinazofanya hizo nchi kulegeza masharti sio kwamba kirusi kimeondoka la hasha ila wanaanza taratibu kuja na siasa nyingine kwamba hiki kirusi kuna uwezekano tukaishi nacho
wakati huo huo China na Marekani kila siku wanapigana vijembe. Wametoka kushutumiana kwamba china imeleta corona na marekani walileta UKIMWI sasa hivi wanashutumiana kudukuliana formula za kutengeneza chanjo. Hii ni rahisi kuamini hata hizi takwimu wanazitaka ili wajue ni wateja wangapi wameshaingia sokoni kwa chochote watakacholeta kitumike kama dawa ndiomaana hawataki mitishamba yetu ya kiafrika isijekupunguza soko walilo target.
Sasa haiingii akilini kila siku WHO na mashirka ya kimataifa yanasisitiza zaidi nchi kutoa takwimu za walioathirika, kupoteza maisha na wanaopona na wanafikia hatua ya kutilia mashaka idadi za vifo kwa baadhi ya nchi badala ya kusisitiza uharakishwaji wa kutafuta dawa kuokoa maisha ya watu. Hapa ndipo siasa ilipo.
WHO imekuwa kama agent au middlemen wa mataifa makubwa kuwatengenezea soko kwa kulazimisha nchi zihesabu idadi ya wateja waliokwishaingia sokoni wakati wababe wa dunia wakiendelea kugombana nani dawa yake iingie sokoni. Na kwa vyovyote vile Marekani anahofu china asijekuteka soko la corona kwa kuuza mashine na dawa maana atakuja kupindua meza ya kuwa kiongozi wa dunia
Dunia inaelekea kurudi kwenye utaratibu wa kawaida kwa kuondoa masharti yaliyowekwa awali lakini siku hadi siku takwimu zinazidi kuongezeka duniani kote, sababu zinazofanya hizo nchi kulegeza masharti sio kwamba kirusi kimeondoka la hasha ila wanaanza taratibu kuja na siasa nyingine kwamba hiki kirusi kuna uwezekano tukaishi nacho
wakati huo huo China na Marekani kila siku wanapigana vijembe. Wametoka kushutumiana kwamba china imeleta corona na marekani walileta UKIMWI sasa hivi wanashutumiana kudukuliana formula za kutengeneza chanjo. Hii ni rahisi kuamini hata hizi takwimu wanazitaka ili wajue ni wateja wangapi wameshaingia sokoni kwa chochote watakacholeta kitumike kama dawa ndiomaana hawataki mitishamba yetu ya kiafrika isijekupunguza soko walilo target.