WHO wawe wakweli, Chanjo ya Corona haikupitia hatua za kisayansi kuruhusiwa kutolewa kwa binadamu

WHO wawe wakweli, Chanjo ya Corona haikupitia hatua za kisayansi kuruhusiwa kutolewa kwa binadamu

Kila dawa inapotengenezwa lazima ipitie clinical trial ili ithibitike kuwa inafaa kutolewa kwa binadamu.leaflet yake itaonyesha mechanism of action, route of administration ,bioavailability, and Possible side effects

Tumeona sehemu nyingi ulimwengu vaccine ya AstraZeneca ikikataliwa baada ya kusababisha vifo kutukana na damu kuganda mwilini hasa Kwenye ubongo.swali ni je leaflet ya chanjo ya AstraZeneca inaonyesha possible side effects za chanjo hiyo?
Swali la pili ni kwani chanjo hii inafaa kwa watu umri zaidi ya 18 na sivinginevyo?
Soma hii:

The U.K. reports more blood-clotting cases in people who received the AstraZeneca shot
Ambaye hajawahi hata kutengeneza chanjo anawashauri wenye uzoefu wa miaka na miaka. Tengenezeni zenu mfanye majaribio kwani ni lazima kutumia hizo.
 
Na kwa kukusaidia majibu ya maswali mengine uliyoyashindwa, USA ilifanya tafiti ikihusisha watu 32,000 kuangalia ubora, ufanisi na usalama wa chanjo hiyo ya AstraZeneca (haitengenezwi USA), matokeo yameonesha chanjo hiyo ni salama na ina ubora ktk kuzuia corona.

Halafu msomi wa Nanyamba watuletea stori za kwenye vijiwe vya kahawa.

Link : Covid vaccine: US trial of AstraZeneca jab confirms safety

View attachment 1743845


Unaelewa maana ya Results ? Results comes from a certain study. That is why I said they are doing clinical studies
 
Acha uongo (kuwa chanjo hazikupitia hatua hizo) na kuongelea vitu kiujumla jumla pasi na kuweka data.

Hizo blood clots zimetokea kwa watu wangapi na ktk idadi gani ya watu waliokwishapata chanjo hiyo?

Je nchi ya Uingereza (kulikotokea Visa hivyo) na nyinginezo baada ya uchunguzi wamesemaji juu ya usalama wa chanjo hiyo?

Je Mamlaka husika inayodhibiti maswala ya chanjo na tiba ktk the European Union wamesemaje juu ya uchunguzi wao kuhusu matukio hayo na usalama wa chanjo hiyo?

Je USA imesemaje baada ya kufanya utafiti juu ya uwezo na ufanisi wa chanjo ya AstraZeneca?

Maswali hayo yote majibu yake nayafahamu na yanakinzana na huo uongo wako.
Wewe ndo zero kabisa unaamini kila kitu kinachotoka kwa wazungu hujipi muda wa kutumia akili zako,unakuja na rhitorocal questions zisizo na mbele wala nyuma.hujiulizi kwanini kuna nchi za Marekani na Ulaya zimesitisha hiyo chanjo pamoja na kurusuhusiwa kwa matumizi?
 
Kila dawa inapotengenezwa lazima ipitie clinical trial ili ithibitike kuwa inafaa kutolewa kwa binadamu. Leaflet yake itaonyesha mechanism of action, route of administration, bioavailability, and possible side effects

Tumeona sehemu nyingi ulimwengu vaccine ya AstraZeneca ikikataliwa baada ya kusababisha vifo kutukana na damu kuganda mwilini hasa Kwenye ubongo. Swali ni je, leaflet ya chanjo ya AstraZeneca inaonyesha possible side effects za chanjo hiyo?

Swali la pili ni kwani chanjo hii inafaa kwa watu umri zaidi ya 18 na sivinginevyo?

Soma hii:

The U.K. reports more blood-clotting cases in people who received the AstraZeneca shot

Mkuu ungeandika tu "WHO mna cha kujifunza tokea kwa mwendazake kuhusiana na chanjo za Corona." WHO wangekuelewa mara moja.

Hii ingeweza kuharakisha zaidi wao kuiidhinisha nyungu kwa matumizi duniani hata kama haikuwezi kifua dafu kwa jabali letu na hata kama Jaffo keshaachana nayo!

2721819_Jafo.png
 
Wewe ndo zero kabisa unaamini kila kitu kinachotoka kwa wazungu hujipi muda wa kutumia akili zako,unakuja na rhitorocal questions zisizo na mbele wala nyuma.hujiulizi kwanini kuna nchi za Marekani na Ulaya zimesitisha hiyo chanjo pamoja na kurusuhusiwa kwa matumizi?
Mwenzako kashindwa taja hizo nchi hizo za Ulaya na Marekani zilizoacha kutumia chanjo hiyo. Na amekimbia uzi wake.

Taja wewe mwerevu.
 
Ambaye hajawahi hata kutengeneza chanjo anawashauri wenye uzoefu wa miaka na miaka. Tengenezeni zenu mfanye majaribio kwani ni lazima kutumia hizo.

Mkuu ulichoandika ni uthibitisho wa wazi kuwa jamii yetu inatatizo kubwa la elimu.

Mbaya zaidi njaa zinapowafanya watu kuukumbatia ujinga alimradi mkono uende kinywani.
 
Mleta mada upo sahihi kabisa, chanjo za korona zimekuwa approved for emergency use kwani hazijakamilisha hatua za utafiti. Makampuni ya madawa wanavunja sheria kwa makusudi kwa kuwatumia watu kwenye majaribio bila ridhaa yao, bila kuwalipa chochote, hakuna recruitment au sampling plan, na pia kuuza (commercialize) chanjo ambayo haijapata final approval.....hadi sasa hakuna conclusive data on efficacy na safety ya hizo chanjo, na athari za muda mfupi na muda mrefu hazijulikani.......
 
Utakuwa huelewi mambo yalivyo.

Chanjo hutestiwa usalama wake kabla hata kufikia kuidhinishwa matumizi kwa watu.

Inapokuja sokoni ikawa ktk matumizi endapo ikitokea jambo geni, uchunguzi hufanyika kuangalia kama kuna uhusiano wa hilo jambo geni na chanjo hiyo. Na hicho ndicho kilichofanyika.

Tofautisha chanjo na vitu vya ajabu ajabu kama covid organic n.k.
Sio tu chanjo ya astrazaneca, hata dawa za kawaida Kama mseto ya malaria Kuna watu wakitumia inawaletea adverse reaction mbaya, kwenye madawa ni Jambo la kawaida kikubwa adverse reaction isiwe inatokea kwa watu wengi, na Kama ikitokea kwa watu wengi inapigwa marufuku kitu ambacho mtoa mada hakijui
 
Moja ya watu wajinga wewe ndo wa kwanza na hufuatilii mambo.

Vaccine zote zimekua authorize kwa emergency use na hii ni kwa sababu watu walikuwa wanakufa na corona.

Kwa hiyo ulitaka wakae miaka mitano au kumi ya pharmacovigilance huku watu wakiendelea kupuputika, Sasa uchumi wa dunia siuta collapse kabisa usiwe unakurupuka.
Uchumi wa dunia hujawahi kumomonyoka kwa sababu ya population drop.
 
Kwa sababu umeshikiwa akili na mzungu na wewe nyani ndiyo maana unasema hayo.tuulize sisi wasomi .empty head can not think
Huna usomi wowote wewe, na isitoshe hiyo report umechota kakipande kadogo kabakohusiana na blood clots. Full report inaonyesha Uingereza wameshapata chanjo 18 milioni na zote ni successful, reported blood clots ni 7 cases. Secondly kwa husemi pia blood clots ni moja ya athari za covid?
 
Hizo zaweza kuwa short term complications. What about longterm complications?

And why vifo vya watu 30 hapo UK ionekane si kitu?ingekuwa mwanao,babako,mamako ungeshabikia kama unavooneka ukifanya?
Mbona kwenye kumuaga mwendazake pale uwanjani tumepoteza roho 45 na wala kama taifa hatujasikia wiki moja ya kuomboleza au hata tuu kuwatangaza TBC?? Wewe unakomaa na hao 30 (ambao actually hawakufa but walipata hizo complications) vipi hawa wamatumbi wenzako 45????
 
Acha uongo (kuwa chanjo hazikupitia hatua hizo) na kuongelea vitu kiujumla jumla pasi na kuweka data.

Hizo blood clots zimetokea kwa watu wangapi na ktk idadi gani ya watu waliokwishapata chanjo hiyo?

Je nchi ya Uingereza (kulikotokea Visa hivyo) na nyinginezo baada ya uchunguzi wamesemaji juu ya usalama wa chanjo hiyo?

Je Mamlaka husika inayodhibiti maswala ya chanjo na tiba ktk the European Union wamesemaje juu ya uchunguzi wao kuhusu matukio hayo na usalama wa chanjo hiyo?

Je USA imesemaje baada ya kufanya utafiti juu ya uwezo na ufanisi wa chanjo ya AstraZeneca?

Maswali hayo yote majibu yake nayafahamu na yanakinzana na huo uongo wako.
We unayejibu hapa umehusika katika utengenezaji wa chanjo au umetumwa ujibu...unajibu maswali through third part experience jomba...how possible..? Sikutegemea ..wacha watengenezaji na wachunguzi watupe majibu wewe vipi...unadhan wewe mswahili tu wa hapo manzese tutakuamini na maneno yako...khaaaa....! Nenda wewe kadungwe kwanza..wala hujatuambia wewe Ni mfano mmojawapo uliyedungwa hiyo chanjo ili walau tuamini kiduchu
 
Waonekana hufatilii mambo, nani alikwambia watu hao 30 wote wamekufa?

Kuganda kwa damu haimaanishi kuganda kwa damu yote kama tafsiri ya haraka inavyokuja ktk maneno ya kiswahili.

Hizo complications unazoongelea wao ktk tafiti zao hawakuziona, kama wewe umefanya tafiti ktk hizo ni vema utujuze na utuwekee link ya publication(s) zako.

Acha mihemko, wale ambao kwao yametokea matukio hayo wanasema ni salama kutumia chanjo hiyo. Sasa wewe wa Bhuza waminyana na habari za kuungaunga

View attachment 1743843
Unatuthibitishiaje kama tafiti kweli ilifanyika na hayo ndio majibu...where is the proof jomba
 
Utakuwa huelewi mambo yalivyo.

Chanjo hutestiwa usalama wake kabla hata kufikia kuidhinishwa matumizi kwa watu.

Inapokuja sokoni ikawa ktk matumizi endapo ikitokea jambo geni, uchunguzi hufanyika kuangalia kama kuna uhusiano wa hilo jambo geni na chanjo hiyo. Na hicho ndicho kilichofanyika.

Tofautisha chanjo na vitu vya ajabu ajabu kama covid organic n.k.
Nadhan wewe huelewi..hiyo Ni clinical test tuuu...hata wenyewe hawako sure itakavyo react mtumiaji..ndio maana unapewa form unaambiwa saini endapo kutatokea lolote kama side effects ama kifo basi hauta dai popote...what's this..? Hata wao hawana uhakika wa mambo
 
Mkuu unadhani hadi chanjo inagandisha damu na watu nasikia 7/30 waliokuwa na hiyo shida wameuma shuka unadhani mchezo?
Sisi tupige nyungu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom