WHO wawe wakweli, Chanjo ya Corona haikupitia hatua za kisayansi kuruhusiwa kutolewa kwa binadamu

Ambaye hajawahi hata kutengeneza chanjo anawashauri wenye uzoefu wa miaka na miaka. Tengenezeni zenu mfanye majaribio kwani ni lazima kutumia hizo.
 


Unaelewa maana ya Results ? Results comes from a certain study. That is why I said they are doing clinical studies
 
Wewe ndo zero kabisa unaamini kila kitu kinachotoka kwa wazungu hujipi muda wa kutumia akili zako,unakuja na rhitorocal questions zisizo na mbele wala nyuma.hujiulizi kwanini kuna nchi za Marekani na Ulaya zimesitisha hiyo chanjo pamoja na kurusuhusiwa kwa matumizi?
 

Mkuu ungeandika tu "WHO mna cha kujifunza tokea kwa mwendazake kuhusiana na chanjo za Corona." WHO wangekuelewa mara moja.

Hii ingeweza kuharakisha zaidi wao kuiidhinisha nyungu kwa matumizi duniani hata kama haikuwezi kifua dafu kwa jabali letu na hata kama Jaffo keshaachana nayo!

 
Mwenzako kashindwa taja hizo nchi hizo za Ulaya na Marekani zilizoacha kutumia chanjo hiyo. Na amekimbia uzi wake.

Taja wewe mwerevu.
 
Ambaye hajawahi hata kutengeneza chanjo anawashauri wenye uzoefu wa miaka na miaka. Tengenezeni zenu mfanye majaribio kwani ni lazima kutumia hizo.

Mkuu ulichoandika ni uthibitisho wa wazi kuwa jamii yetu inatatizo kubwa la elimu.

Mbaya zaidi njaa zinapowafanya watu kuukumbatia ujinga alimradi mkono uende kinywani.
 
Mleta mada upo sahihi kabisa, chanjo za korona zimekuwa approved for emergency use kwani hazijakamilisha hatua za utafiti. Makampuni ya madawa wanavunja sheria kwa makusudi kwa kuwatumia watu kwenye majaribio bila ridhaa yao, bila kuwalipa chochote, hakuna recruitment au sampling plan, na pia kuuza (commercialize) chanjo ambayo haijapata final approval.....hadi sasa hakuna conclusive data on efficacy na safety ya hizo chanjo, na athari za muda mfupi na muda mrefu hazijulikani.......
 
Sio tu chanjo ya astrazaneca, hata dawa za kawaida Kama mseto ya malaria Kuna watu wakitumia inawaletea adverse reaction mbaya, kwenye madawa ni Jambo la kawaida kikubwa adverse reaction isiwe inatokea kwa watu wengi, na Kama ikitokea kwa watu wengi inapigwa marufuku kitu ambacho mtoa mada hakijui
 
Uchumi wa dunia hujawahi kumomonyoka kwa sababu ya population drop.
 
Kwa sababu umeshikiwa akili na mzungu na wewe nyani ndiyo maana unasema hayo.tuulize sisi wasomi .empty head can not think
Huna usomi wowote wewe, na isitoshe hiyo report umechota kakipande kadogo kabakohusiana na blood clots. Full report inaonyesha Uingereza wameshapata chanjo 18 milioni na zote ni successful, reported blood clots ni 7 cases. Secondly kwa husemi pia blood clots ni moja ya athari za covid?
 
Hizo zaweza kuwa short term complications. What about longterm complications?

And why vifo vya watu 30 hapo UK ionekane si kitu?ingekuwa mwanao,babako,mamako ungeshabikia kama unavooneka ukifanya?
Mbona kwenye kumuaga mwendazake pale uwanjani tumepoteza roho 45 na wala kama taifa hatujasikia wiki moja ya kuomboleza au hata tuu kuwatangaza TBC?? Wewe unakomaa na hao 30 (ambao actually hawakufa but walipata hizo complications) vipi hawa wamatumbi wenzako 45????
 
We unayejibu hapa umehusika katika utengenezaji wa chanjo au umetumwa ujibu...unajibu maswali through third part experience jomba...how possible..? Sikutegemea ..wacha watengenezaji na wachunguzi watupe majibu wewe vipi...unadhan wewe mswahili tu wa hapo manzese tutakuamini na maneno yako...khaaaa....! Nenda wewe kadungwe kwanza..wala hujatuambia wewe Ni mfano mmojawapo uliyedungwa hiyo chanjo ili walau tuamini kiduchu
 
Unatuthibitishiaje kama tafiti kweli ilifanyika na hayo ndio majibu...where is the proof jomba
 
Nadhan wewe huelewi..hiyo Ni clinical test tuuu...hata wenyewe hawako sure itakavyo react mtumiaji..ndio maana unapewa form unaambiwa saini endapo kutatokea lolote kama side effects ama kifo basi hauta dai popote...what's this..? Hata wao hawana uhakika wa mambo
 
Mkuu unadhani hadi chanjo inagandisha damu na watu nasikia 7/30 waliokuwa na hiyo shida wameuma shuka unadhani mchezo?
Sisi tupige nyungu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…