Tetesi: WHO waweka bayana sababu za upungufu wa nguvu za kiume -Dar

Tetesi: WHO waweka bayana sababu za upungufu wa nguvu za kiume -Dar

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
6,097
Reaction score
7,199
Mtakumbuka hivi majuzi yalitoleea matokeo ya utafiti ambao matokeo yake yalibainisha kwamba takribani 33% ya wanaume mkoani Dar Es Salaam wanakabiliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Akizungumzia matokeo ya utafiti huo Mratibu wa Tafiti za Magonjwa Sugu kanda ya Afrika (WHO) Dkt Delphina Boaz amebainisha sababu "zingine" zinazopelekea upungufu wa nguvu za kiume mbali na vyakula na punyeto kua ni pamoja na Wanaume kupitishiwa kwa karibu na korodani mashine za kukagulia vifaa hatarishi vya usalama, mionzi na madini yanayotumika kutengeneza taa za Night Club (vimwekamweka), mionzi ya rimoti na komputa mpakato na ameeleza kwamba sababu zingine anazijua mgonjwa mwenyewe.

Bi. Delphina ametahadharisha kwamba tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kupungua, kuisha kabisa au linaweza pia kukua na kupelekea uhanithi kutokana na mwenendo mtu.

Kazi kweli kweli.



An ant on the move does more than a dozing ox.
 
kubwa hapa nadhani ni msongo wa mawazo hayo mengine nyongeza,kwa ujumla wanaume wa mjini wanakabiriwa sana na hili tatizo sio Dar pekee,hata miji/majiji mingine tatizo hili lipo
 
Mbona hawa watafiti hawajahitimisha japo kwa ufupi ushauri wa tufanyeje?au ni janja ya mkuu wa Kaya baada ya kuona utabiri wake kwamba mwezi wa7 atakaebaki Dar ni mwanaume na wote wamekomaa kaona awapange hawa waje watutishe ili tuogope tuondoke!!!haondoki mtu hapa...hapa Dar tu na hakuna kung'oka hata mtuambie kwamba kuishi Dar kunapunguza umri wa kuishi.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
Tatizo vijana luxury sana, wanagombania seat badala ya kusimama, mhindi wa kuchoma wanakula na limao na pili pili, hawafanyi mazoezi kazi kujipodoa , siku hizi hata kuvunja mhindi hawawezi wanakata na kisu, kula chips kwa toothpick halafu anataka sex wakati bao moja ni sawa na kutembea 7kms yeye hata kutembea kwa miguu 1km hawezi halafu anatafuta mchawi wa kuishiwa nguvu za kiume wakati yeye binafsi anaishi ki softly kama mtoto wa kike, wote warembo usoni.
 
Pamoja na kwamba TaFiti hupingwa na tafiti, tatizo Hili lipi overrated.
Vijana wengi sana wameathirika kisaikolojia kwa kuangalia porn...
Wanadhani porn ni 100%real..sasa wanatumia Dawa za kuongeza nguvu za kiume isivyo na ulazima...mauzo ya dawa hizo yapo juu Sana kulinganisha na uhalisia.

Kwa upande mwingine hasa kwenye saikolojia kuna MA mbumbumbu yanayohubiri mambo ya kula sijui mihogo, sijui nyanya chungu.. Ilimradi ujinga tu.
Tatizo lipo kwenye saikolojia zaid..
 
Mbona hawa watafiti hawajahitimisha japo kwa ufupi ushauri wa tufanyeje?au ni janja ya mkuu wa Kaya baada ya kuona utabiri wake kwamba mwezi wa7 atakaebaki Dar ni mwanaume na wote wamekomaa kaona awapange hawa waje watutishe ili tuogope tuondoke!!!haondoki mtu hapa...hapa Dar tu na hakuna kung'oka hata mtuambie kwamba kuishi Dar kunapunguza umri wa kuishi.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc watu mgeta moro tunanguvu za kiume kama mnataka muamin bas tembeleen maeneo ya wanakouza bolingo halafu uliza anayeinga na anayetoka jibi utambiwa mloka roja mkude na kobelo ndio wanapishana kwa wauza bolingo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc watu mgeta moro tunanguvu za kiume kama mnataka muamin bas tembeleen maeneo ya wanakouza bolingo halafu uliza anayeinga na anayetoka jibi utambiwa mloka roja mkude na kobelo ndio wanapishana kwa wauza bolingo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha umenikumbusha jina la [HASHTAG]#Kobelo[/HASHTAG] alikua muuza chipsi Mzumbe Uni ya Moro. Ni mtu wa mgeta mliman kabisa kule...wanalima sana ndizi na mbogamboga hasa karoti [emoji3]

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
DaSlam haijawahi kuacha kibamiYA salama[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pamoja na kwamba TaFiti hupingwa na tafiti, tatizo Hili lipi overrated.
Vijana wengi sana wameathirika kisaikolojia kwa kuangalia porn...
Wanadhani porn ni 100%real..sasa wanatumia Dawa za kuongeza nguvu za kiume isivyo na ulazima...mauzo ya dawa hizo yapo juu Sana kulinganisha na uhalisia.

Kwa upande mwingine hasa kwenye saikolojia kuna MA mbumbumbu yanayohubiri mambo ya kula sijui mihogo, sijui nyanya chungu.. Ilimradi ujinga tu.
Tatizo lipo kwenye saikolojia zaid..
Ni kweli mkuu,
Naomba ni-pm namna ya kutibu saikolojia
 
Cc watu mgeta moro tunanguvu za kiume kama mnataka muamin bas tembeleen maeneo ya wanakouza bolingo halafu uliza anayeinga na anayetoka jibi utambiwa mloka roja mkude na kobelo ndio wanapishana kwa wauza bolingo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hoja yako imekaa poa sana. Tatizo ni kuandika "CC" badala ya "sisi"! Halafu, ukiweka alama stahiki kama vile mkato, nukta na kadhalika, basi ingenoga zaidi. Nimebaini ulikuwa na haraka tu. Usisahau tena.
 
Back
Top Bottom