Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kinachomsumbua Museven ni uchaguzi tu, vinginevyo na yeye angeruhusu raia wake waendelee kula maisha toka zamani.Uki staajabu ya Musa utashangaa ya firahu i ...ss huko UG vipimo vya Covid 19 vimekuwa dili na chanzo cha mapato ya serikali kupima covid ss ni unalipia kiasi kama 240k UGx . Hii baada ya wahisani ss kuanza kuwithdraw ule msaada wa fedhaaa
Sasa hivi kampeni zinafanyika kupitia media[emoji3][emoji3][emoji3]
.
Kina Bob wine wamebanwa kinyama