Basi kwa sababu umesema mwenyewe kuwa hujui, nichukue fursa hii tena kukufananisha kuwa ipo tofauti ya wazi baina ya kusikitika na kukasirika. Vile vile kati ya kusikitika na kufurahi.
Fahamuni kuwa habari zozote mbaya kuhusiana na ugonjwa huu zinasikitisha mno na ndiyo maana tunaandika kila taarifa zenye mafunzo zinapopatikana.
Kukasirika huambatana na matusi na kejeli. Angalia mabandiko yenye matusi na kejeli kuwatambua nani wenye hasira na mabandiko na ugonjwa huu kujiuliza ni kwa maslahi yapi?