WHO yatangaza kumalizika kwa Dharula ya janga la COVID-19 duniani

WHO yatangaza kumalizika kwa Dharula ya janga la COVID-19 duniani

Shirika la Afya Duniani limetangaza rasmi kwamba Ugonjwa wa COVID-19 sio tena Janga la dharura Duniani.

Hatua hii imekuja miaka 3 baada ya kutangazwa kwa ugonjwa huu kuwa Dharura ya Kidunia inayohitaji uangalizi wa Kimataifa.

Pia, hali ya sasa ya maambukizi imepungua kutoka wastani wa Maambukizi 100,00 kwa wiki kama ilivyokuwa Januari 2021 hadi kufikia 3,500 Aprili 24 mwaka huu.

Kuhusu vifo, takriban watu milioni 7 wametajwa kupoteza maisha kwa ugonjwa huu huku WHO kupitia kwa Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus ikisema vifo halisi vinaweza kufikia milioni 20, kiasi kinachokaribia mara 3 zaidi ya kile kinachotambuliwa rasmi.

====

The statement represents a major step towards ending the pandemic and comes three years after it first declared its highest level of alert over the virus.
Officials said the virus' death rate had dropped from a peak of more than 100,000 people per week in January 2021 to just over 3,500 on 24 April.
The head of the WHO said at least seven million people died in the pandemic.

'Great hope'​

But Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus said that the true figure was "likely" closer to 20 million deaths - nearly three times the official estimate - and he warned that the virus remained a significant threat.

"Yesterday, the Emergency Committee met for the 15th time and recommended to me that I declare an end to the public health emergency of international concern. I've accepted that advice. It is therefore with great hope that I declare Covid-19 over as a global health emergency," Dr Tedros said.

He added that the decision had been considered carefully for some time and made on the basis of careful analysis of data.
But he warned the removal of the highest level of alert did not mean the danger was over and said the emergency status could be reinstated if the situation changed.

"The worst thing any country can do now is to use this news as a reason to let down its guard, to dismantle the systems it has built, or to send the message to its people that Covid-19 is nothing to worry about," he said.
The World Health Organization first declared Covid-19 to be a public health emergency of international concern (PHEIC) in January 2020.

This signalled the need for coordinated global action to protect people from the new virus. It will now be up to individual countries to continue to manage Covid in the way they think best.

Vaccines were one of the major turning points in the pandemic. According to the WHO, 13 billion doses have been given, allowing many people to be protected from serious illness and death.

But in many countries vaccines have not reached most of those in need. More than 765 million confirmed Covid infections have been recorded worldwide.

The US and UK, like many other countries, have already talked about "living with the virus" and wound down many of the tests and social mixing rules.

Dr Mike Ryan, from the WHO's health emergencies programme, said the emergency may have ended, but the threat is still there.

"We fully expect that this virus will continue to transmit and this is the history of pandemics," he said.

"It took decades for the final throes of the pandemic virus of 1918 to disappear.
"In most cases, pandemics truly end when the next pandemic begins."

BBC
 
BREAKING: World Health Organization chief says coronavirus killed over 20 million people worldwide, but is now 'over as a global health emergency'.
 
Nini kimelimaliza janga ilhali mapokeo ya chanjo yalikuwa hafifu vile na chanjo yenyewe ya kuhitaji booster kila leo?
 
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 sio tena "dharura ya afya duniani".

Taarifa hiyo inawakilisha hatua kubwa kuelekea kumaliza janga hili na inakuja miaka mitatu baada ya kutangaza kiwango chake cha juu zaidi cha tahadhari juu ya virusi.

=============

The World Health Organisation (WHO) has declared that Covid-19 no longer represents a "global health emergency".

The statement represents a major step towards ending the pandemic and comes three years after it first declared its highest level of alert over the virus.

Officials said the virus' death rate had dropped from a peak of more than 100,000 people per week in January 2021 to just over 3,500 on 24 April.

Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus said "at least 20 million" had died.

This breaking news story is being updated and more details will be published shortly. Please refresh the page for the fullest version.
Hawana lolote.Waliutikisa ulimwengu haijapata kutokea kwa dhana na njama za makampuni ya dawa. watu wengi walikufa kwa hofu lakini hatimae imeshindikana.
 
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 sio tena "dharura ya afya duniani".

Taarifa hiyo inawakilisha hatua kubwa kuelekea kumaliza janga hili na inakuja miaka mitatu baada ya kutangaza kiwango chake cha juu zaidi cha tahadhari juu ya virusi.

=============

The World Health Organisation (WHO) has declared that Covid-19 no longer represents a "global health emergency".

The statement represents a major step towards ending the pandemic and comes three years after it first declared its highest level of alert over the virus.

Officials said the virus' death rate had dropped from a peak of more than 100,000 people per week in January 2021 to just over 3,500 on 24 April.

Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus said "at least 20 million" had died.

This breaking news story is being updated and more details will be published shortly. Please refresh the page for the fullest version.
"Dharula" ndio nini?Ni dharura mkuu.

Halafu JF wame-hijack taarifa yangu na kuificha kwenye taarifa be yako,hii ni conspiracy against me.Taarifa yangu ime-expose uzushi na uzandiki wa WHO ambao nilitaka watu wauone.Anyway sina jinsi,ngoja wenye meno waume.
 
Back
Top Bottom