MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo maana nakupendaga sana, Uko na akili mingi kwelikweli, A name Wangari Maathai suits you well !Nadhan huyo dogo ni exptional!ana kipaji kikubwa sana sema wengi hawaelewi!
Mie mpaka leo nashangaa nandy anafikaje juu na huku anaimba flat sana!..nandy hakai bench moja na Rubby au Vanessa! Au Maua!
Nadhan connection ni kitu muhimu pia!
Naunga mkono hojaπ
Nandy alifika pale alipo kwa mkono wa hayati mzee wa fursaNadhan huyo dogo ni exptional!ana kipaji kikubwa sana sema wengi hawaelewi!
Mie mpaka leo nashangaa nandy anafikaje juu na huku anaimba flat sana!..nandy hakai bench moja na Rubby au Vanessa! Au Maua!
Nadhan connection ni kitu muhimu pia!
Naunga mkono hoja[emoji4]
Ndiyo maana nakupendaga sana, Uko na akili mingi kwelikweli, A name Wangari Maathai suits you well !
Sasa ukisema hivi watakwambia wewe ni hater au promoter lakini yule mtoto ana kipaji kikubwa sana.!
Psss! Covid ishaisha jamani, unakuja lini kutoa mali sasa ?? ππππ
Kiapaji + Bidii ya kazi + Menejimenti nzuri + Vyombo vya burudani = Mafanikio Makubwa kwa MsaniiNandy alifika pale alipo kwa mkono wa hayati mzee wa fursa
Hivi Zuchu ana kipaji ?Kiapaji + Bidii ya kazi + Menejimenti nzuri + Vyombo vya burudani = Mafanikio Makubwa kwa Msanii
Wewe njoo kwanza ujitambulishe, hayo mengine yanazungumzika.Kuna siku nilitaka kukuuliza je nikileta harrier hybdrid mzee ataweza drive?? .tuachane na zile mila za kuleta mablanketiπ! Sijui mashuka..sijui mundu ...sijui.ng'ombe!...mie nataka nilete gari na helaππ!
Nitakudangaya mkuu, sijawahi msikiliza.Hivi Zuchu ana kipaji ?
Uko sahihi kabisa mkuu, serikali itengeneze mazingira mazuri kwa wasanii haya mambo ya U-God Father hayafai!Vipaji wanavyo wengi tu shida ipo ktk media na support yao, ni sawa na kusema anakujua nani ,wanamziki wengi bongo wakubwa ukijaribu kufuatilia utaona connection za msanii na media ndo zinamfikisha mbali tofauti na,Nigeria kule kipaji chako na kazi nzuri ndo zitafanya msanii uvume ,bongo unaconnection na media gani?? ifike muda hizi media bongo zibadili uelekeo wafungue milango kwa vizazi plus vipaji vipya
Wewe njoo kwanza ujitambulishe, hayo mengine yanazungumzika.
Mimi kwetu hawaniuzi atiii π€£π€£π€£π€£
Mimi navyokupenda siwezi kukufanyia vituko bwana!π€£π€£ukija bure utakuwa na kiburi wewe!π!
Mimi navyokupenda siwezi kukufanyia vituko bwana!
I will totally submit to your authority. πππ
Haya masharti kamuumbe mume wako mwenyewe!Noted! Sitaki utoke na watoto wenzio...
Sitaki sigara, bangi_kulewa daily, uvivu, ujuha wowot sipend .napendq unichallenge kwakwli...! .napenda unipe ushauri....! Pagumu wewe nishauri usiogope...means sipend men mwoga..maana mm sina woga!
Clubing every end of monthππ!
Sasa ole wako nihisi una kislay kwiniπ π ! Nakutimua asbh na mapemaaa!.usiwe too talkative aise ..! Most of our time tufikirie vitu postive..sasa habri za kina zuchu sijui wozu sijui umbea wa insta nakuhamisha room mapemaaa!ππ(jokes)!
Hahhahaaha...mxiewwwHaya masharti kamuumbe mume wako mwenyewe!
Masharti kama tuko kambi ya wakimbizi bwana!Hahhahaaha...mxiewww
Hufaiiππ!...wewe unataka unyoe kiduku?π !Masharti kama tuko kambi ya wakimbizi bwana!
Usiogope!Kiduku sitanyoa, maana nywele zenyewe ni za kutafutiza huku kichwani!Hufaiiππ!...wewe unataka unyoe kiduku?π !
Yaani na ww una upara??πππUsiogope!Kiduku sitanyoa, maana nywele zenyewe ni za kutafutiza huku kichwani!