Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mwamwaa nimekupndraa kwanzia niite babe natangaza Nia nimempata mpenzi jamii forum nani Carrasco putin mwaaa mwaaUmeni kiss vizur ww binti kuna zawad yako pm wahi chapu maana toka nizaliwe sijawahi kupata kiss
Mwamwaa nimekupndraa kwanzia niite babe natangaza Nia nimempata mpenzi jamii forum nani Carrasco putin mwaaa mwaa
Mie ninalo trakoo Ile sio kubwa na taka kupunguza kitrambii jitolee basi nikabebe Chuma niwe kajala ili usitoke njeeNiliwahi kukutongoza? Ila ni sawa sijawahi kukutongoza maana huna tako wewe ni kimbaumbau
Wewe unasehemu Yako siumesema unataka kuitwa mume , basi njoo ulipe mahari??Na mimi unaniweka wapi
Mwamwaa nimekupndraa kwanzia niite babe natangaza Nia nimempata mpenzi jamii forum nani Carrasco putin mwaaa mwaa
Na mimi unaniweka wapi
Haya bhana yote maisha bwana asante so tuanzaje lini?Oyaaa wahuni chaputa bye bye nishapata jibebi huku ana trako shape la dunia uno la kuvunja chaga jicho tamu limelejea kama anakula kungu guu la bia kifuani ndyo kbsa binti namba E
Chaputa bye bye
[mention]Unique Flower [/mention] nataka nikupende mpka Moderator waone wivu watupige Ban
Wewe unasehemu Yako siumesema unataka kuitwa mume , basi njoo ulipe mahari??
Hayaa ona baba yaani ruksaNishaanza kuona wivu ujue mm nikikupenda naanza kuona wivu hapo hapo[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Siyo white men tu, sema vibabu.Wakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu. Karibu kwa majibu.
Uliomba hela kwa mzungu ndio ukaambiwa hivyoWakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu. Karibu kwa majibu.
Ukweli ni kwamba watu white na pesa ni kama pombe na mlevi pesa zinawapenda sana watu weupe kuliko weusi..Wakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu. Karibu kwa majibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio wanawake Tu, kuna masela wanawinda wazungu ili watoboe...
Haswaaaaah.Kwasababu white man akija huku afrika na zile hela zao kidogo tu akizibadili anaweza kula bata la maana hapa bongo na kununua ardhi na kujenga nyumba hata kwa mwezi mmoja tu
Weupe wamejenga sana nyumba kwao na mademu zao tena kwa muda mfupi sana,yaan nyumba ya 30 mil inajengwa mchana na usiku
Ukweli ni kwamba watu white na pesa ni kama pombe na mlevi pesa zinawapenda sana watu weupe kuliko weusi..
Kule zanzibar kila nyumba inapigania ipate chotara la kizungu au kiarabu wanaamini ukiwa na watu hao kwenye ukoo basi ni dalili ya kuneemeka na ndio ilivyo kwa wengi.