Why "African American"....

Why "African American"....

African Americans hawatembelei sana Africa (zaidi ya SA), lakini hakuna aliyewahi kunambia hawezi kutembelea Afrika kwa sababu ya njaa na magonjwa.

Lakini kwa vile wewe wamekwambia hivyo, nataka kujua ulijibu hivi. Hakuna njaa na magonjwa?

Duh Kuhani samahani sana...labda hujatembea sana kaka.
Mimi toka nimeingia humu miaka zaidi ya minane,toka niko
summer camp mpaka nafundisha high school...hio kauli unaisikia
kila unapoleta topic ya Africa..."they got bugs over there!!!". Kuna mama
mmoja niko mbioni namsuka na kila kitu safi lakini hio tripu ya Africa nd'o
bado inamsumbua...mbu na nzii wengiiii!!!!

You have to sit them down and reducate them first nd'o mue on the same level.
Bado wanaongea kuhusu zile sinema za Mohammed Amin highlighting the Ethiopian
problem.

Kuna wakati nilimtia nugu mmoja ndani ya gari langu tukaenda kutembelea mitaa
ya Detroit uswahilini na nikampa taarifa kuwa that scenario was worse than
where I came from!Kisha nikamweleza kua hizi bunduki zao na risasi wanazochapana
ni sawa tu na mikuki tunayofumana Africa tu.So there is a negative side of all places.

Kuhusu swala la njaa sikujibu kua hakuna njaa Africa na magonjwa...that is common
sense.All I did is showed him the folks on welfare na homeless kiba😵nce again
same scenario...differnt places.

Tatizo lao kuu ni elimu waliopewa shuleni na nyuzi wanazopata kupitia
vyombo vya habari.Once unamuelimisha mtu mwenye akili timamu, hua
anakuelewa na anakufagilia kila akuonapo.Ile shule niliokua nafundisha I
had to put that out there.kisha pia nikawaelimisha kuhusu nchi za Africa.
Their experinces with Nigerians has really hurt the image of Africa.

Kuna mmoja aliniambia kua hakujua waafrika ni watu poa kama nilivyomie,nami
nikamwambia asikonde na nitamjulisha to even better people.Basi nikasubiri
party ya wabongo na nikamleta.Jamaa hakuamini vile watu wanakamata
ulabu kwa roho safi na bure.Kisha there was this brotherhood he had never
experienced na kila tukiwa na party anataka awemo.Bado nimuonjeshe
Konyagi tu!!!!
 
Black people themselves....so if they don't want to be called that, they should stop calling themselves that!! Pure and simple.

Very interesting because those that I have met have no idea how that name came about.There was no caucus or referendum that was held before this name was put forward...people started bnding the word in the media and one day it stuck.if you ask them to sincerely explain the concept of
"African-American" hawawezi.Ndiposa nawaambia wajiite tu wamarekani!
 
Duh Kuhani samahani sana...labda hujatembea sana kaka.
Mimi toka nimeingia humu miaka zaidi ya minane,toka niko
summer camp mpaka nafundisha high school...hio kauli unaisikia
kila unapoleta topic ya Africa..."they got bugs over there!!!". Kuna mama
mmoja niko mbioni namsuka na kila kitu safi lakini hio tripu ya Africa nd'o
bado inamsumbua...mbu na nzii wengiiii!!!!

You have to sit them down and reducate them first nd'o mue on the same level.
Bado wanaongea kuhusu zile sinema za Mohammed Amin highlighting the Ethiopian
problem.

Kuna wakati nilimtia nugu mmoja ndani ya gari langu tukaenda kutembelea mitaa
ya Detroit uswahilini na nikampa taarifa kuwa that scenario was worse than
where I came from!Kisha nikamweleza kua hizi bunduki zao na risasi wanazochapana
ni sawa tu na mikuki tunayofumana Africa tu.So there is a negative side of all places.

Kuhusu swala la njaa sikujibu kua hakuna njaa Africa na magonjwa...that is common
sense.All I did is showed him the folks on welfare na homeless kiba😵nce again
same scenario...differnt places.

Tatizo lao kuu ni elimu waliopewa shuleni na nyuzi wanazopata kupitia
vyombo vya habari.Once unamuelimisha mtu mwenye akili timamu, hua
anakuelewa na anakufagilia kila akuonapo.Ile shule niliokua nafundisha I
had to put that out there.kisha pia nikawaelimisha kuhusu nchi za Africa.
Their experinces with Nigerians has really hurt the image of Africa.

Kuna mmoja aliniambia kua hakujua waafrika ni watu poa kama nilivyomie,nami
nikamwambia asikonde na nitamjulisha to even better people.Basi nikasubiri
party ya wabongo na nikamleta.Jamaa hakuamini vile watu wanakamata
ulabu kwa roho safi na bure.Kisha there was this brotherhood he had never
experienced na kila tukiwa na party anataka awemo.Bado nimuonjeshe
Konyagi tu!!!!

This is real men unaongea ukweli mno.They actually think everyone in Africa sucks.Actually kuna redneck mmoja aliniuliza a very stupid question about who is on the dollar when I answered that question she was so thrilled such that she offered an hug which I very much kindly rejected coz to me it was an insult.
Cheers.
 
This is real men unaongea ukweli mno.They actually think everyone in Africa sucks.Actually kuna redneck mmoja aliniuliza a very stupid question about who is on the dollar when I answered that question she was so thrilled such that she offered an hug which I very muck kindly rejected coz to me it was an insult.
Cheers.

Kevo,

Wewe ungemuuliza kama anajua what is on the dollar (back side,right)? And where is it's origin? Why is it there?
 
This is real men unaongea ukweli mno.They actually think everyone in Africa sucks.Actually kuna redneck mmoja aliniuliza a very stupid question about who is on the dollar when I answered that question she was so thrilled such that she offered an hug which I very much kindly rejected coz to me it was an insult.
Cheers.


Umenichekesha babuu...eti nani yuko kwenye sura ya dola...nawe
ungemuuliza sura ya nani iko kwenye hela ya madafu!!!...Their ignorance
amazes even the simplest minds.Hao rednecks nd'o washamba ile ovyo...
nakumbuka nikiwa college mashambani kule Nebraska kulikua na kikundi f'lani
cha hawa jamaa walikua wanapenda kutafuna ugoro na kutema mate kila
mahali.Kisha ukikaa nao kwenye TV room hawakawii kujamba jamba hovyo.
Nd'o nilikua nimeingia tu Marekani...I swear I wanted to go back home ASAP!!
 
Very interesting because those that I have met have no idea how that name came about.There was no caucus or referendum that was held before this name was put forward...people started bnding the word in the media and one day it stuck.if you ask them to sincerely explain the concept of
"African-American" hawawezi.Ndiposa nawaambia wajiite tu wamarekani!

Not everybody knows the origins of everything. The evolution of the label began with Negro (watch Martin Luther King Jr's speeches or read W.E.B. DuBois's writings), then came Black (Black Panthers, Black power, James Brown's I'm and I'm proud etc.), then came African-Americans....Many of the so-called black leaders preferred the term African-American to the other terms hence the widespread use of it. In the forties, fifties, sixties, and seventies, that term was not used. It started being used in the eighties.
 
Umenichekesha babuu...eti nani yuko kwenye sura ya dola...nawe
ungemuuliza sura ya nani iko kwenye hela ya madafu!!!...Their ignorance
amazes even the simplest minds
.Hao rednecks nd'o washamba ile ovyo...
nakumbuka nikiwa college mashambani kule Nebraska kulikua na kikundi f'lani
cha hawa jamaa walikua wanapenda kutafuna ugoro na kutema mate kila
mahali.Kisha ukikaa nao kwenye TV room hawakawii kujamba jamba hovyo.
Nd'o nilikua nimeingia tu Marekani...I swear I wanted to go back home ASAP!!

Ignorance is on both sided or should I say all sides. Nadhani pia ni 'ignorance' kwa Waafrika walio Afrika kudhani ukija Marekani ndo umeukata na kila kitu swafi. That is also ignorance. So Africans are just as ignorant as Americans are.

And why didn't you go back to your country where it is supposedly better?
 
...labda hujatembea sana kaka.
...hio kauli unaisikia kila unapoleta topic ya Africa..."they got bugs over there!!!".

Bado wanaongea kuhusu zile sinema za Mohammed Amin highlighting the Ethiopian problem...

Kuna wakati nilimtia nugu mmoja ndani ya gari langu tukaenda kutembelea mitaa ya Detroit uswahilini na nikampa taarifa kuwa that scenario was worse than where I came from!...

Kuhusu swala la njaa ...All I did is showed him the folks on welfare...

Kuna mmoja aliniambia kua hakujua waafrika ni watu poa...

Unanihadithia picha waliyokuwa nayo African Americans kuhusu Africa, hiyo sijauliza.

Niambie hili: umewahi kumwambia African American atembelee Afrika akakwambia usoni, hapana siendi, kuna njaa na magonjwa, au una embellish?
 
...mie nipo confused, mada ni nini hapa? kwamba ni tatizo kuitwa "african-american" au ni nini hasa? tafadhalini niwekeni sawa, ili na mie nijiridhishe mchana huu!!

Si kapige nyeto tu.....
Au hiyo haikuridhishi...?
 
Unanihadithia picha waliyokuwa nayo African Americans kuhusu Africa, hiyo sijauliza.

Niambie hili: umewahi kumwambia African American atembelee Afrika akakwambia usoni, hapana siendi, kuna njaa na magonjwa, au una embellish?

Unfortunately, mimi nimewahi! Kijana alikuwa na ndoto za kwenda Misri kutembelea pyramids lakini nilipomkaribisha kwetu akaniambia anaogopa kuuawa. Huyu alikuwa kijana aliyekulia Long Beach na kuishi South Central. Alinisimulia jinsi alivyokuwa anaishi na gangbangers na kuwa kuna ndugu na rafiki zake walio death-row! Tatizo ni mis-information. Wengine wanatuweka kwenye pedestal na kuwakumbatia ma-ashanti na wa-zulu tu. Wengine wanaamini kuwa sisi wote ni wadogo zake Charles Taylor na Joseph Kony.

African American ni utambulishi wa watu ambao walinyimwa huo utambulishi kwa miaka mingi. Ni neno ambalo wenyewe wamelikumbatia kama vile Black, Brother/Sister na hili African American kuonyesha kuwa hawana sababu ya kuikana rangi na asili yao ambayo ilikuwa vilified kwa miaka mingi. Kuna wakati walikuwa wanajitambulisha kama Afro Americans lakini naona wakaona wanataka kujiita waafrika bila kificho. Majina Negroes yalitumika na watawala kuwatambulisha na ndiyo maana waliona haja ya kutafuta lingine. Hivi sasa watu kama wakina Spike Lee hawaoni tatizo kutumia neno Negro hasa pale wanapokumbushia watu weusi waliko toka.

Majina mengine yametumika kuwatambulisha watu na asili zao: Jewish American, Irish American, Native American, Polish Ameican, Indian American, Asian American, WASP n.k. Tofauti ni kuwa wengi wa hawa wameweza kuwa assimilated na kukubalika katika jamii kuu, kitu ambacho watu weusi imewawia vigumu. Ndiyo maana Obama, mwenye damu nusu nyeusi na nusu nyeupe, aliyelelewa na watu weupe hawezi hata siku moja kujiita mweupe ingawa anakubalika anapojiita mweusi! 'nuff said.
 
Ndiyo maana Obama, mwenye damu nusu nyeusi na nusu nyeupe, aliyelelewa na watu weupe hawezi hata siku moja kujiita mweupe ingawa anakubalika anapojiita mweusi! 'nuff said.

Ni kweli unachosema, anakubalika kuwa mweusi kwasababu, kwa wamarekani, amepasi kuwa mweusi. Hawezi kujiita mweupe kwa sababu huo mchanganyiko wake pekee umem-disqualify kuwa mweupe. In US, kama wewe sio Caucasian, kwamba hakuzaliwa na damu ya wazazi wote WEUPE, wewe si mzungu tena, bali MINORITY.
 
Not everybody knows the origins of everything. The evolution of the label began with Negro (watch Martin Luther King Jr's speeches or read W.E.B. DuBois's writings), then came Black (Black Panthers, Black power, James Brown's I'm and I'm proud etc.), then came African-Americans....Many of the so-called black leaders preferred the term African-American to the other terms hence the widespread use of it. In the forties, fifties, sixties, and seventies, that term was not used. It started being used in the eighties.
Ngabu, ni miaka mingapi inatakiwa kupita kabla mtu mweusi mwenye asili ya kiafrika ndipo akubalike kuwa naye haitaji over-description katika sehemu mbali mbali za maisha yake?

Na kama unakubali kuwa haya majina kuwa yanabadilika badilika, je mbadiliko badiliko huu umekuwa unafanana kwa hao waamerika wengine wenye asili tofauti? Je, ni mbadiliko upi uko positive... ule wa kuendelea kutofautisha waamerika wengine wanaokuwa referred directly kama waamerika na weusi kuwa referred to as african americans, au ule wa kuwafanya wote wenye haki ya kuishi amerika na kuwa raia wa nchi hiyo wajulikane kama americans?

Nyongeza, kama unazaliwa na kukuta kitu kipo, lakini unafika wakati unajiuliza na kutafakari na kuona kuwa kitu hiki siyo sahihi; je, lipi ni jema... kuendelea na kuendeleza hiyo status quo kwa kueleza wengine mambo ndivyo yalivyo, au kuwa mmojawapo wa wale wenye nia ya kuibadilisha na kufanya jitihada za kubadilisha? Ahsante.

SteveD.
 
Swala la ni nani Mmarekani sio la wazi kama swala la kitu kama ni nani Mjerumani. Ni wazi kwamba kuna raia wengi wa Ujerumani ambao sio Wajerumani. Hawi Musa kwa kushika fimbo.
 
Ngabu, ni miaka mingapi inatakiwa kupita kabla mtu mweusi mwenye asili ya kiafrika ndipo akubalike kuwa naye haitaji over-description katika sehemu mbali mbali za maisha yake?

Na kama unakubali kuwa haya majina kuwa yanabadilika badilika, je mbadiliko badiliko huu umekuwa unafanana kwa hao waamerika wengine wenye asili tofauti? Je, ni mbadiliko upi uko positive... ule wa kuendelea kutofautisha waamerika wengine wanaokuwa referred directly kama waamerika na weusi kuwa referred to as african americans, au ule wa kuwafanya wote wenye haki ya kuishi amerika na kuwa raia wa nchi hiyo wajulikane kama americans?

Nyongeza, kama unazaliwa na kukuta kitu kipo, lakini unafika wakati unajiuliza na kutafakari na kuona kuwa kitu hiki siyo sahihi; je, lipi ni jema... kuendelea na kuendeleza hiyo status quo kwa kueleza wengine mambo ndivyo yalivyo, au kuwa mmojawapo wa wale wenye nia ya kuibadilisha na kufanya jitihada za kubadilisha? Ahsante.

SteveD.

Steve, weusi wenyewe ndio wanataka waitwe hivyo na kama wasingetaka tungekuwa tumeshasikia kelele. Nenda kwenye community zao na utaona matangazo ya kila aina e.g. African American owned this and that...kwa hiyo sielewi tatizo ulilonalo. Usiwalaumu wazungu, kama hilo jina si zuri na linaashiria ubaguzi wa namna fulani kwa nini sasa weusi wenyewe wanalikumbatia na kuonyesha fahari kutambuliwa hivyo?
Watu wengine watawaita wao kulingana na wanavyotaka kutambuliwa.

Ukumbuke pia katika jamii kama ya Marekani, vitambulisho vya ancestry lazima vitakuwepo. Nikupe mfano, kukiwa kumetokea uhalifu wa namna fulani, let's say murder, halafu muuaji akaishia zake lakini kukawa na watu ambao labda walimwona akiishia. Huyo mtuhumiwa muuaji ni mweusi. Sasa unataka hao waliomwona akiishia wamu-identify kivipi? An American? Male? or an African American male, standing about 5'11, caramel complexion, and so on and so forth....Wewe huoni kama hiyo itasaidia law enforcement katika hunt yao?

Kuna Asian American, Hispanics or Latino, Cuban American, Italian American na wengine wengi tu who take pride in their heritage. African Americans happen to have gone through a lot and are the most vocal of the minority groups. Ndio maana unawasikia sana.

Binafsi sioni issue yoyote hapa. Kama jamii ya weusi inataka itambuliwe hivyo kwangu mimi sawa tu. It doesn't make them less of anything (American). But in this world you can't please everybody.
 
Umenichekesha babuu...eti nani yuko kwenye sura ya dola...nawe
ungemuuliza sura ya nani iko kwenye hela ya madafu!!!...Their ignorance
amazes even the simplest minds.Hao rednecks nd'o washamba ile ovyo...
nakumbuka nikiwa college mashambani kule Nebraska kulikua na kikundi f'lani
cha hawa jamaa walikua wanapenda kutafuna ugoro na kutema mate kila
mahali.Kisha ukikaa nao kwenye TV room hawakawii kujamba jamba hovyo.
Nd'o nilikua nimeingia tu Marekani...I swear I wanted to go back home ASAP!![/QUOT

Home is always the place to be doug. sometimes even when I was there I actually thought that was the worst decision I had ever made in my life coz you wont believe one time manager mmoja wa Walmart shut the door to my face eti am Black ingawa they are twenty four seven and even spent a night on the street.I damn hate that country sometimes I actually think the shortcomings they face are due to their own ignorance.
God bless Tanzania God bless Africa.
 
Back
Top Bottom