Why African Capitalism Needs Changing

Why African Capitalism Needs Changing

Kishoka acha longolongo, hivi unajua maana ya 'progressive' wewe maana naona unaendeleza 'reactionary' politics na hiyo PPP yako!

Companero,

Kwani kuwa na reactionary politics ni makosa? Je kinachosababisa Upinzani au guerilla movement ni nini?

Sasa kwa kuwa hukupenda kwenda kusoma kuhusu PPPT, nitakurahisishia uone premise ya PPPT ambayo inazungumzia kuwepo kwa mfumo sahihi wa haki na utu katika kufuata kanuni, sheria na Katiba.

Rev. Kishoka
user_invisible.gif

Rev. Kishoka has no status. Edit
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Mon Mar 2006
Location: USA
Posts: 3,323
Thanks: 621
Thanked 426 Times in 171 Posts
Rep Power: 131
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Progressive People's Party of Tanzania

Quote:


Chama hiki kipya kitafanya nini kushughulikia tatizo la ufisadi:

a. Benki Kuu
b. Serikalini (wizarani)
c. Wahusika wa ufisadi




Katika mfumo bora wa kiutawala, Sheria lazima zifuatwe na Wananchi na wanaotunga Sheria na dhamana ya kutunga Sheria ni lazima wafanye kazi kwa kutimiza wajibu na majukumu yao.

Kilichotokea Tanzania ni kuvunjwa kwa Sheria na Wananchi wake na kukosekana kwa kuwajibika kwa waliopewa dhamana ya kulinda na kuhakikisha kuwa Sheria na Kanuni zinafuatwa.

PPPT katika safari yake ya kujenga Taifa, itahakikisha kuwa Sheria, Kanuni na Katiba ndio dira za nchi na si utashi wa mtu mmoja mmoja au vikundi maalum.

Hivyo, kabla ya kuanza kushughulikia ipaswavyo yaliyopita ya kuhujumu nchi, kazi ya kwanza itakuwa ni kuhakikisha kuwa Sheria, Kanuni na Katiba zinafanya kazi kwa haki na zinavyopaswa, bila kuteterekea kutokana na msukumo wa kisiasa, hujuma au namna yoyote ile ambayo lengo ni kutafuta mianya ya kukiuka Sheria, Kanuni na Katiba.

Kisha kwa ridhaa na dhamana ambayo PPPT imepewa, PPPT itafuatilia kwa kutumia kitana kila kitu kinachogusa uchumi wa Tanzania kuwa kuangalia mapengo na matatizo yaliyotokea na kuhakikisha hatua madhubuti zinachukuliwa kuziba mianya ya kuhujumu nchi na hatua kali za kisheria na kikatiba zitachukuliwa dhidi ya yeyote yule ambaye amevunja sheria, kanuni na kukiuka Katiba.

Hivyo kwa mifano hiyo mitatu, naamini kuwepo kwa mfumo bora na uongozi imara, PPPT itaweza kutatua matatizo ya kale na yajayo kwa kuyafanyia kazi na kutoa maamuzi ya haki kwa kutumia Sheria, kanuni na muongozo wa Kikatiba.
 
What comes first, 'Agricultural/Agrarian revolution' or 'industrial revolution' - Kilimo Kwanza or Viwanda Kwanza?


Tatizo letu wadanganyika hatujifunzi toka historia yetu!! Huko nyuma tuliawahi kutilia mkazo wa kujenga viwanda katika development plans zetu; halafu tukaja kuacha na kusema kuwa tulikosea mkazo ungekuwa kwenye kilimo forgetting kuwa kilimo na viwanda vinategemeana. Nchi yeyote inayotaka maendeleo kwanza ni lazima iwe na uwezo wa kujilisha, na ilikuzalisha chakula cha kutosha ni lazima ziwepo nyenzo za kuzalishia ambazo hutoka viwandani; viwanda pia ili vizalishe vinahitaji raw materials kutoka kwenye sector ya kilimo!! consequently, sera kama za KILIMO kwanza will only suceed zikiendana na sera za kutilia mkazo relevant viwanda!! You need machines to produce corn and corn to produce machines, it is as simple as that!!
 
...Moeletsi Mbeki, a private business entrepreneur, has written a new book entitled 'Architects of Poverty' and subtitled 'Why African Capitalism Needs Changing'.

This is a must read book...
Nikikihitaji nitakipata vipi hiki kitabu?
 
Companero,

Kwani kuwa na reactionary politics ni makosa? Je kinachosababisa Upinzani au guerilla movement ni nini?

Sasa kwa kuwa hukupenda kwenda kusoma kuhusu PPPT, nitakurahisishia uone premise ya PPPT ambayo inazungumzia kuwepo kwa mfumo sahihi wa haki na utu katika kufuata kanuni, sheria na Katiba.

Mchungaji unaongea na mtu anayefuatilia mada zako kwa kina - hiyo ya PPT nilishaiona toka ilipotoka mwanzo. Nikaicha kama ilivyo. Jina lenyewe tayari linaonyesha sio chama cha wananchi. Ni chama cha wateule. Tazama hata jina lake. Hivi Bibi yangu kule Vuathu ataelewa kweli mantiki ya jina hili, eti 'progressive'! Ndio nini hicho - Chama cha Waendeleaji?
 
Ilikuwa ni disaster tupu. Na labda unaweza kusikia tone yangu ya sasa imekwenda upande wa kulia mno kuliko hile ya DHB.

Du, naona umemuongoa na Mchungaji Kishoka - na yeye sasa anaung'ang'ania 'ukulia' wakati Neno linamwambia asiangalie 'kushoto' wala 'kulia' bali asonge mbele kuelekea Kanani nchi ya Ahadi!
 
. At least the poor Mwalimu tried State Capitalism!

State Capitalism is a contradictory term.

You cannot have capitalism when the State is responsible for deciding what citizens should and should not manufacture.

You cannot have capitalism when the system does not reward risk taking, hard work and entrepreneurs.

Nyerere's ideologies failed this country economically.

Tanzanians are too reluctant to make that admission, to say so is almost like committing treason.

Wazee walilitupilia mbali Azimio la Arusha na kitendo hicho kinaonesha kwamba Azimio lilifeli lakini husikii anayekiri kwamba lile Azimio lilikuwa bomu.

Mvivu na mchapa kazi hawawezi kuwa sawa. Kwa nini iwe mwiko kuwa na nyumba ya kupangisha wakati wengine wako tayari kufanya kazi masaa 60 kwa wiki na wengine wanapendelea kucheza bao masaa 60?

It was an ideological mess!!!
 
Mchungaji unaongea na mtu anayefuatilia mada zako kwa kina - hiyo ya PPT nilishaiona toka ilipotoka mwanzo. Nikaicha kama ilivyo. Jina lenyewe tayari linaonyesha sio chama cha wananchi. Ni chama cha wateule. Tazama hata jina lake. Hivi Bibi yangu kule Vuathu ataelewa kweli mantiki ya jina hili, eti 'progressive'! Ndio nini hicho - Chama cha Waendeleaji?

Tufafanulie unaposema Wateule, ni kina nani na wana mtazamo gani?
 
Back
Top Bottom