Why are blondes stupid?

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
There are so many jokes and myth that blondes are stupid. Is this true? And if so, what's the reason behind it? Msaada jamani.....


 
There are so many jokes and myth that blondes are stupid. Is this true? And if so, what's the reason behind it? Msaada jamani.....
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz.

ubarikiwe baba-pasta
 
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz. ubarikiwe baba-pasta

Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah
 
Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah

Hahaha! Mpwa si unaona hata mimi sasa nimekuelewa. Mi nilidhania blondes ni tubinti twenye sura kama avatar ya Firstladi1. Lol!
 
Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah
lol!kingereza kigumu.huku tz mwanamke mwenye nywele nyeupe anakuwa ajuza(ai mini ni mzee tayari),halafu hawezi kuwa mzuri tena.huko kwingie sijui labda wenyeji watujuze.

hata movie nikiziangalia wengi wao huwa na goldish-hairs.na ukiwazungumzia hao naweza kusema ni wazuri kwa muonekano.

karibu tunasali rozali mchungaji!tunauaga aga mwezi wa rozali sasa
 
Uongo! Uongo WEUSI WAZURI BWANA ONENI MKE WANGU ALIVYO....
 

Attachments



Hahahahah hao hao nyeupe to Goldish......ubarikiwe mimi niko kwenye mafungo naombea Nguli, Xpin, Yo Yo, Fidel na watu wa jinsi hiyo!
 
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz.

ubarikiwe baba-pasta

Geoff hiyo Cartoon ataibadilishaje katika kiswahili ??
ama ndo atoe tafsiri ya hiyo cartoon!!
 

ha ha ha ha ha haha ha hahaa ahaahahahahahahahah !
 

Nimependa kwenye hayo maandishi ya SbB ila wanapenda sana ma ja pipo/watafuna lile jani wakija huku bongio kama huna rasta hawakupendi sijui kuna siri gani kwenye lile jani...
 
Nimependa kwenye hayo maandishi ya SbB ila wanapenda sana ma ja pipo/watafuna lile jani wakija huku bongio kama huna rasta hawakupendi sijui kuna siri gani kwenye lile jani...

labda wanajua kama huna rasta sio mteja wa bangi so itakuwa ngumu kwao kuipata
 
labda wanajua kama huna rasta sio mteja wa bangi so itakuwa ngumu kwao kuipata

Ningekuza nywele zangu ili niwaoe ila nimekumbuka huwa wanataka uwape list ya ndg zako 5 muhimu ndio waruhusiwe kuvisit state house yenu na sisi kwetu tuko wengi natakiwa kuwa na mwanamke mkarimu na anaweza kupikia watu 30 wk end wakija kutembea na sio sausage
 

Mpwa Nywele zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…