Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz.There are so many jokes and myth that blondes are stupid. Is this true? And if so, what's the reason behind it? Msaada jamani.....
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz. ubarikiwe baba-pasta
Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah
lol!kingereza kigumu.huku tz mwanamke mwenye nywele nyeupe anakuwa ajuza(ai mini ni mzee tayari),halafu hawezi kuwa mzuri tena.huko kwingie sijui labda wenyeji watujuze.Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah
lol!kingereza kigumu.huku tz mwanamke mwenye nywele nyeupe anakuwa ajuza(ai mini ni mzee tayari),halafu hawezi kuwa mzuri tena.huko kwingie sijui labda wenyeji watujuze.
hata movie nikiziangalia wengi wao huwa na goldish-hairs.na ukiwazungumzia hao naweza kusema ni wazuri kwa muonekano.
karibu tunasali rozali mchungaji!tunauaga aga mwezi wa rozali sasa
andika kwa kiswahili kwa faida yangu na wengine tuliopo tz.
ubarikiwe baba-pasta
lol!kingereza kigumu.huku tz mwanamke mwenye nywele nyeupe anakuwa ajuza(ai mini ni mzee tayari),halafu hawezi kuwa mzuri tena.huko kwingie sijui labda wenyeji watujuze.
hata movie nikiziangalia wengi wao huwa na goldish-hairs.na ukiwazungumzia hao naweza kusema ni wazuri kwa muonekano.
karibu tunasali rozali mchungaji!tunauaga aga mwezi wa rozali sasa
Kwi kwi kwi are you blonde?
![]()
Blondes!
![]()
Nimeikuza!
Nimependa kwenye hayo maandishi ya SbB ila wanapenda sana ma ja pipo/watafuna lile jani wakija huku bongio kama huna rasta hawakupendi sijui kuna siri gani kwenye lile jani...
labda wanajua kama huna rasta sio mteja wa bangi so itakuwa ngumu kwao kuipata
Ningekuza nywele zangu ili niwaoe ila nimekumbuka huwa wanataka uwape list ya ndg zako 5 muhimu ndio waruhusiwe kuvisit state house yenu na sisi kwetu tuko wengi natakiwa kuwa na mwanamke mkarimu na anaweza kupikia watu 30 wk end wakija kutembea na sio sausage