Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

hahaha....he pretend him self to be smart in mind..while in actual sense he is not...
 
I believe Membe is the best presidential candidates so far among those who have shown interest. No one can deny that he is brilliant and focused. I wonder why people talk of billions or millions of dollars from Libya or Egypt. Is Membe a citizen or part of leadership of those countries?
 
Kuna kitu kinaitwa kusoma alama za nyakati,msemo huu una maana kubwa na busara sana endapo mhusika atajitambua. Namzungumzia Benard Membe waziri wa mambo ya nje na mtu mpole mpole kama alivyokuwa marehemu kipenzi bibi yangu Kabula. Kwenye siasa za sasa ni vigumu sana marafiki zako kukuambia mwanangu hiyo inshu unayofuatilia imekaa ndivyo sivyo kwani wanahofia watakosa malaji toka kwako. Ukweli ni kwamba kama Mh. Membe unafikri Watanzania wanakufamu basi ni huko Dodoma,Dar na jimboni kwako. Huruma yangu kwa Mh. Membe ni pale uchaguzi utakapoisha na kupotea kabisa umaarufu mdogo alionao na asishangae hata jina langu Ng'wanapagi likawa maarufu kuliko Membe🙄🙄
 
Karibuni kuna vijana wamepewa magari huku mikoani yakidaiwa kutolewa na Membe.. Namhakikishia kuwa urais atausikia kwenye bomba..
 
Huku mikoani tunamfahamu El kama mzee wa richmond,yote tisa,waache wafu waka
zikane! Ukawa ndiyo kiboko yenu mwaka huu!
 
Huku mikoani tunamfahamu El kama mzee richmond,yote tisa,waache wafu waka
zikane! Ukawa ndiyo kiboko yenu mwaka huu!
 

Mkuu hii imekaaje!!! Twambie una bifu na Mh Membe au?
 
Ccm haina hulka yakuchagua wagombea urais watu wenyetabia za ukali je siunaona mwinyi.mkapa.kikwete.hapo imekaa vizuri kwa membe.
 
Kama kuna watanzania wengi wanaofikiri kama wewe basi ujue nchi yetu haitakaa iendelee kamwe. Unazungumzia kumpenda mtu katika karne hii badala ya kuzungumzia ni nini mgombea atakachofanya atakapopata fursa ya kuingia ikulu. Wajameeeni tubadili mwelekeo na upepo wa kisiasa vinginevyo nchi yetu itabaki maskini tu. Eti wengine wanaangalia sura, sijui kabila, udini, ukanda, eeeh kazi kweli. Eti mtu anafananisha mgombea na bibi yake wa kijijini. Hahahahah nimecheka karibu na kuzirai.wajameeni tubadilike.amashikolo mageni
 

Ni vizuri ukamfikishia ujumbe wangu kwamba anapoteza ubunge kwa ndoto za mchana.
 
Weka hiyo nukuu maana sijaona hiyo unayoisema, shida nin kuiweka hiyo source hapa kama ipo?na kama haipo umeitoa wapi then?

Atakuwa alikuwa ana desa chuoni huwezi feli form6 ukapata first class chuoni
 

Member lowasa jk sita wote walikuwa wanamtandao the same people hakuna alie nafuu
 
Jaribu kutofautisha upole na unafiki,unaweza ukamuona mtu kama mpole kumbe bonge la mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…