SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,889
Nani atatufaa sasa....maana wote wanaojaribu kujitokeza "hawafai"?😱hwell:
Na kwa kweli binafsi ninapata taabu kama kuna mtu anataka/ana nia kugombea urais mwaka 2015 halafu mpaka sasa hivi hajajitokeza kabisa.....hata kwa kujificha ficha!
Tunaweza kujikuta tunalazimika "ku import" Rais!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Na kwa kweli binafsi ninapata taabu kama kuna mtu anataka/ana nia kugombea urais mwaka 2015 halafu mpaka sasa hivi hajajitokeza kabisa.....hata kwa kujificha ficha!
Tunaweza kujikuta tunalazimika "ku import" Rais!:biggrin1::biggrin1::biggrin1: