Madame X hoja nzuri lakini vile naomba kusema kuwa sio kila successful black man anafanya hivyo yaani kukimbilia white women. Mfano mzuri ni Denzel Washington, Will Smith, Jay Z, na kadhalika. Nafikiri inatokea tu kuwa preference ya mtu. Kwa mfano, kuna mabinti watatu wa kizungu ambao nawajua kwa muda mrefu sasa. They all date black men, na wanapendelea jamaa zetu wa West Africa (Nigerians, and Ghanians). Why? I have no idea. Vile vile, angalia mtu kama Tiger Woods. Ukiangalia wanawake wote aliokuwa ana fling nao..almost wote ni blondes. Mmoja au wawili walikuwa ma brunette.
Now kuna watu wanaoweka vigezo fulani (physical criteria) kwenye kutafuta partner, regardless ya tabia ya mtu. Kwa mfano sisi baadhi ya waafrica, kuna wanawake wakiona mzungu tu hata kama ana miaka 70 what a lottery. Vile vile kuna baadhi yetu especially tulio nje tukikutana na mwanamama wa kidhungu hata kama ana weigh pound 300, poa tu so long as she is going to solve our immediate needs yaani makaratasi. Watu wana date kutokana na mazingira waliyoko, kipato, elimu, publicity, marafiki, etc. Nafikiri watu wakiwa sophisticated na kukawa hakuna shida ya hela, makaratasi,etc,. then criteria zinakuwa tofauti kuliko unavyokuwa desperate.
N'ways I like your topic.