MBONA HUJAWEKA BAR? (Booked)</b><a href="http://4.bp.blogspot.com/_Uf3wKuI_75k/R_AdeU2UERI/AAAAAAAAAII/wJUVlvJE2Y4/s1600-h/Sonia.JPG" target="_blank"><img src="http://4.bp.blogspot.com/_Uf3wKuI_75k/R_AdeU2UERI/AAAAAAAAAII/wJUVlvJE2Y4/s320/Sonia.JPG" border="0" alt="" /></a><b> <i><font color="#6600cc">Haijalishi mtu unayetaka kuoana mmekutana wapi; </font></i></b><br />
<i><font color="#6600cc"><b>hata kama ni kanisani, shuleni, kwenye mkesha wa maombi, kijijini, mjini, hotelini, sokoni, kwenye daladala, barabarani, ofisini, kazini, safarini, kwenye semina au hata kama ni kwenye internet au njia yoyote ile ambayo Mungu anaweza kuitumia maana Mungu hafungwi na njia za kukutanisha watu.</b></font></i><br />
<i><font color="#6600cc"><b>Au Haijalishi ni mzungu, mwarabu, mchina, mwafrika, au awe mnene, mwembamba, mrefu kama Ngongoti, mfupi kama Zakayo, </b></font></i><br />
<br />
<i><font color="#6600cc"><b>A</b></font></i><i><font color="#6600cc"><b>we amesoma au hajasoma, awe mbena au mchaga au mhaya au mgogo au mzigua, au awe anatoka Canada, Kenya, Uganda, Nigeria au Tanzania. Pia haijalisha ktk kukutana naye umeunganishiwa na rafiki yako, au mchungaji wako, au wazazi wako au mtu wako wa karibu.<br />
</b></font></i></div><i><font color="#6600cc"><br />
</font></i><div style="text-align: center;"><i><b><font color="#cc33cc">Kitu cha msingi ni wewe kuwa makini kujiuliza haya maswali matano muhimu.<br />
</font></b></i><br />
<br />
<b><font color="#000000"><font size="4">1. JE, TUNAFANANA? (Compatible)<br />
</font></font></b>Ndoa ni kama jengo la nyumba na nyumba ni sharti iwe na msingi (foundation). Msingi imara huwezesha nyumba kuhimili kila aina ya janga linalotokea kama vile mvua, upepo, mafuriko, dhoruba, tetemeko la ardhi nk. Na kuna aina ya material zinazotumika kujengea msingi na hizi aina za material ndizo huelezea aina ya msingi na uimara wake.<br />
<br />
Unaweza kujenga ndoa kwa kuvutiwa na umbo la mtu (mvuto wa nje) au urembo tu. Pia sasa hivi kuna uzuri mwingi tu na unauzwa dukani (body shops)<br />
<br />
Unavutiwa na kipande kimoja tu cha mwili wake kama vile shingo, matiti, ******, unene, au wembamba, nywele, smile, anavyotembea, miguu, au kifua nk.<br />
<i>this is just physical attraction</i> kuna siku anaweza kubadilika kuna kuugua, kuna ajali, kuna kubadilika mwili nk kwa hiyo ku-base kwenye mwonekano wa nje peke yake lisiwe jibu kwako kuona huyu mtu