MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Ningekuwa karibu ungekula kerebu moja hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na utoto wako eeh...Endelea ivo ivo mpaka ufikishe miaka 50Ni mwanamke wangu tuliependana sana tukiwa chuo. She was extremely beautiful. Ila alikuwa anajisikia sana. She got a very big ego. Alinizingua sana tukiwa chuo nikaachana nae tukaja kukutana miaka mitano baada ya Mimi kumaliza chuo yeye alitangulia kwa mwaka mmoja tukaanza upya tena this time she was a single mother.
Mwanzoni alikuwa na nidhamu sana ila baada ya kujiridhisha kuwa bado nampenda kama zamani akaanza tena mideko yake.
Ni Raia wa nchi jirani so anaishi nchini kwao na mimi nchini kwetu. Normally huwa anakuja Bongo na Mimi naenda kwao.
Tumekua na on and off relationship for a very long time.
Na amesha ni block kama mara tatu ambazo hata hivyo alikuwa honestly.
Mwanzoni nilipost picha za baby mama wangu kumuwish a happy birthday. My baby mother is more beautiful than her but I love her the most kwa sababu kuna vitu anavyo sijaviona kwa mwanamke yoyote yule duniani. I cant even explain them. So her action was justifiable. Nikamuomba msamaha via email mwisho wa siku tukayamaliza tukaanza upya tena..
Akaja kuniblock tena kama mara 2 nyingine kwa sababu ya hasira na wivu na zote tulikuwa tukayamaliza baada ya muda fulani.
This time around ni kama vile she was done with me. Na sio kwamba nina mtreat vibaya la hasha ila tatizo lake ni anaamini sana katika intuitions zake. Maamuzi yake mengi dhidi yangu amekuwa akiyafanya just based on her intuitions. Kwa mfano kuna kipindi nilienda kisarawe vijijini huko nikakaa kama wiki moja hakukuwa na network na umeme shida and in addition to that simu yangu ikaharibika. So baada ya hizo siku saba niliporudi mjini nikakuta emails kibao ana complain anasema nipo na malaya zangu ndio maana nimemzimia simu, but before that nilimuandikia email kimuelezea what was going on. Kesho yake nikanunua simu mpya nikamtext akawa harespond nikawa najaribu kumuelewesha mwisho wa siku akaniblock. Nikahamia kwenye email kumplease..
Siku ulivyo kaa sawa akaniambia alikasirika sana namuona yeye kama mtoto kwamba kwanini namdanganya simu imeharibika wakati nawasiliana nae kwa email what am I hiding. Nikamjibu nilienda kwenye internet cafe sikutumia simu basi kidogo akaelewa.
Au anaweza kupost picha zake status, nisipomsifia inakuwa ni ishu kubwa sana au nisipo view anakasirika hadi ana ni block na anafanya hivyo bila kuniambia so nikija kugundua kwamba ameniblock nikamtext ndo anafunguka how comes nimeshindwa kuview status zake au kusifia..
Sasa hii mara ya mwisho kaniblock kama miezi miwili nikamtext email kibao akasema amechoka na vituko vyangu na ame move on na ananiombea na Mimi niweze ku move on. Nikamwambia kama umeamua hivyo sawa.
Wiki 3 zilizopita nilipatwa na intuition kwamba she need me to talk to her. She want to talk to me but she cant cause she has a very big ego. She need me start the conversation. ( Most of the time Mimi na yeye huwa tuna communicate through telephathy cause our bond was very deep. Yaani nikiwa namuwaza basi na yeye anakuwa ananiwaza kweli. It has happened so many times. So siku hiyo niliahisi pia may be she was praying for me to start a conversation with her or she was just deeply thinking about me and/or wishing me to talk to her.
Nikajifikiria zaidi ya mara 2 nikasita kumtext kwa sababu maneno yangu ya mwisho kwake yalikuwa ni " I will never disturb u with my emails again unless you allow me to do that" Niliwambia hivyo kwa sababu aliniambia nisimsumbue kumtumia emails zangu na kwamba Mungu amemuonyesha kwamba Mimi sio mume wake.
Juzi niliweka status yangu, wakati natazama who viewed my status nashangaa naona na yeye ameview. Naenda kutazama profiles zake nagundua namba yake moja ime ni unblock ila nyingine bado ime ni block.
Swali langu kwa wataalamu wa saikolojia ya wanawake na mahusiano.
WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Expert wa maswala hayo nipo hapaNi mwanamke wangu tuliependana sana tukiwa chuo. She was extremely beautiful. Ila alikuwa anajisikia sana. She got a very big ego. Alinizingua sana tukiwa chuo nikaachana nae tukaja kukutana miaka mitano baada ya Mimi kumaliza chuo yeye alitangulia kwa mwaka mmoja tukaanza upya tena this time she was a single mother.
Mwanzoni alikuwa na nidhamu sana ila baada ya kujiridhisha kuwa bado nampenda kama zamani akaanza tena mideko yake.
Ni Raia wa nchi jirani so anaishi nchini kwao na mimi nchini kwetu. Normally huwa anakuja Bongo na Mimi naenda kwao.
Tumekua na on and off relationship for a very long time.
Na amesha ni block kama mara tatu ambazo hata hivyo alikuwa honestly.
Mwanzoni nilipost picha za baby mama wangu kumuwish a happy birthday. My baby mother is more beautiful than her but I love her the most kwa sababu kuna vitu anavyo sijaviona kwa mwanamke yoyote yule duniani. I cant even explain them. So her action was justifiable. Nikamuomba msamaha via email mwisho wa siku tukayamaliza tukaanza upya tena..
Akaja kuniblock tena kama mara 2 nyingine kwa sababu ya hasira na wivu na zote tulikuwa tukayamaliza baada ya muda fulani.
This time around ni kama vile she was done with me. Na sio kwamba nina mtreat vibaya la hasha ila tatizo lake ni anaamini sana katika intuitions zake. Maamuzi yake mengi dhidi yangu amekuwa akiyafanya just based on her intuitions. Kwa mfano kuna kipindi nilienda kisarawe vijijini huko nikakaa kama wiki moja hakukuwa na network na umeme shida and in addition to that simu yangu ikaharibika. So baada ya hizo siku saba niliporudi mjini nikakuta emails kibao ana complain anasema nipo na malaya zangu ndio maana nimemzimia simu, but before that nilimuandikia email kimuelezea what was going on. Kesho yake nikanunua simu mpya nikamtext akawa harespond nikawa najaribu kumuelewesha mwisho wa siku akaniblock. Nikahamia kwenye email kumplease..
Siku ulivyo kaa sawa akaniambia alikasirika sana namuona yeye kama mtoto kwamba kwanini namdanganya simu imeharibika wakati nawasiliana nae kwa email what am I hiding. Nikamjibu nilienda kwenye internet cafe sikutumia simu basi kidogo akaelewa.
Au anaweza kupost picha zake status, nisipomsifia inakuwa ni ishu kubwa sana au nisipo view anakasirika hadi ana ni block na anafanya hivyo bila kuniambia so nikija kugundua kwamba ameniblock nikamtext ndo anafunguka how comes nimeshindwa kuview status zake au kusifia..
Sasa hii mara ya mwisho kaniblock kama miezi miwili nikamtext email kibao akasema amechoka na vituko vyangu na ame move on na ananiombea na Mimi niweze ku move on. Nikamwambia kama umeamua hivyo sawa.
Wiki 3 zilizopita nilipatwa na intuition kwamba she need me to talk to her. She want to talk to me but she cant cause she has a very big ego. She need me start the conversation. ( Most of the time Mimi na yeye huwa tuna communicate through telephathy cause our bond was very deep. Yaani nikiwa namuwaza basi na yeye anakuwa ananiwaza kweli. It has happened so many times. So siku hiyo niliahisi pia may be she was praying for me to start a conversation with her or she was just deeply thinking about me and/or wishing me to talk to her.
Nikajifikiria zaidi ya mara 2 nikasita kumtext kwa sababu maneno yangu ya mwisho kwake yalikuwa ni " I will never disturb u with my emails again unless you allow me to do that" Niliwambia hivyo kwa sababu aliniambia nisimsumbue kumtumia emails zangu na kwamba Mungu amemuonyesha kwamba Mimi sio mume wake.
Juzi niliweka status yangu, wakati natazama who viewed my status nashangaa naona na yeye ameview. Naenda kutazama profiles zake nagundua namba yake moja ime ni unblock ila nyingine bado ime ni block.
Swali langu kwa wataalamu wa saikolojia ya wanawake na mahusiano.
WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Will Jr, maisha yako hivyo tu huwezi kuwa serious sana mkuu.Ila mwanangu unatakiwa upigwe lecture ya uanaume, bado una safari ndefu sana.
labda hata kuna mwanaume hapokei simu za huyo mwanamke na mwanamke anaomba msamaha japo hajui kosa afu wewe umepigwa block na umekaa unasema "she is my soulmate"
Unasifia ujinga tu unataka uelimishwe nini mkuu? Kiufupi wew anakudharau mwanamkea aliona huwez bila yeye atakusumbuakikubwa
Hivi nguvu unayotumia kuforci mapenzi usipopendwa unaweza kuitumia kudai katiba mpya?Ni mwanamke wangu tuliependana sana tukiwa chuo. She was extremely beautiful. Ila alikuwa anajisikia sana. She got a very big ego. Alinizingua sana tukiwa chuo nikaachana nae tukaja kukutana miaka mitano baada ya Mimi kumaliza chuo yeye alitangulia kwa mwaka mmoja tukaanza upya tena this time she was a single mother.
Mwanzoni alikuwa na nidhamu sana ila baada ya kujiridhisha kuwa bado nampenda kama zamani akaanza tena mideko yake.
Ni Raia wa nchi jirani so anaishi nchini kwao na mimi nchini kwetu. Normally huwa anakuja Bongo na Mimi naenda kwao.
Tumekua na on and off relationship for a very long time.
Na amesha ni block kama mara tatu ambazo hata hivyo alikuwa honestly.
Mwanzoni nilipost picha za baby mama wangu kumuwish a happy birthday. My baby mother is more beautiful than her but I love her the most kwa sababu kuna vitu anavyo sijaviona kwa mwanamke yoyote yule duniani. I cant even explain them. So her action was justifiable. Nikamuomba msamaha via email mwisho wa siku tukayamaliza tukaanza upya tena..
Akaja kuniblock tena kama mara 2 nyingine kwa sababu ya hasira na wivu na zote tulikuwa tukayamaliza baada ya muda fulani.
This time around ni kama vile she was done with me. Na sio kwamba nina mtreat vibaya la hasha ila tatizo lake ni anaamini sana katika intuitions zake. Maamuzi yake mengi dhidi yangu amekuwa akiyafanya just based on her intuitions. Kwa mfano kuna kipindi nilienda kisarawe vijijini huko nikakaa kama wiki moja hakukuwa na network na umeme shida and in addition to that simu yangu ikaharibika. So baada ya hizo siku saba niliporudi mjini nikakuta emails kibao ana complain anasema nipo na malaya zangu ndio maana nimemzimia simu, but before that nilimuandikia email kimuelezea what was going on. Kesho yake nikanunua simu mpya nikamtext akawa harespond nikawa najaribu kumuelewesha mwisho wa siku akaniblock. Nikahamia kwenye email kumplease..
Siku ulivyo kaa sawa akaniambia alikasirika sana namuona yeye kama mtoto kwamba kwanini namdanganya simu imeharibika wakati nawasiliana nae kwa email what am I hiding. Nikamjibu nilienda kwenye internet cafe sikutumia simu basi kidogo akaelewa.
Au anaweza kupost picha zake status, nisipomsifia inakuwa ni ishu kubwa sana au nisipo view anakasirika hadi ana ni block na anafanya hivyo bila kuniambia so nikija kugundua kwamba ameniblock nikamtext ndo anafunguka how comes nimeshindwa kuview status zake au kusifia..
Sasa hii mara ya mwisho kaniblock kama miezi miwili nikamtext email kibao akasema amechoka na vituko vyangu na ame move on na ananiombea na Mimi niweze ku move on. Nikamwambia kama umeamua hivyo sawa.
Wiki 3 zilizopita nilipatwa na intuition kwamba she need me to talk to her. She want to talk to me but she cant cause she has a very big ego. She need me start the conversation. ( Most of the time Mimi na yeye huwa tuna communicate through telephathy cause our bond was very deep. Yaani nikiwa namuwaza basi na yeye anakuwa ananiwaza kweli. It has happened so many times. So siku hiyo niliahisi pia may be she was praying for me to start a conversation with her or she was just deeply thinking about me and/or wishing me to talk to her.
Nikajifikiria zaidi ya mara 2 nikasita kumtext kwa sababu maneno yangu ya mwisho kwake yalikuwa ni " I will never disturb u with my emails again unless you allow me to do that" Niliwambia hivyo kwa sababu aliniambia nisimsumbue kumtumia emails zangu na kwamba Mungu amemuonyesha kwamba Mimi sio mume wake.
Juzi niliweka status yangu, wakati natazama who viewed my status nashangaa naona na yeye ameview. Naenda kutazama profiles zake nagundua namba yake moja ime ni unblock ila nyingine bado ime ni block.
Swali langu kwa wataalamu wa saikolojia ya wanawake na mahusiano.
WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Umekuja na id nyingine kutetea ujinga wako.Will Jr, maisha yako hivyo tu huwezi kuwa serious sana mkuu.
Kila mtu anaishi vile moyo unavyomsukuma kifupi mwamba yuko sawa maana yeye ndiye anaijua taste ya situation hiyo.
Na wewe pia uko sawa kwa kumuona mwamba hivyo ulivyomchukulia maana haujui taste ya situation yake so utahukumu vyovyote vile ni sawa.
Ila ukweli usemwe kila mtu hapa duniani iwe ke kwa me, wote tunafeel lonely, Guilty na kumiss baadhi ya old days. And we all get stupid when in deep love.
Kuna muda ke kwa me wanatutumua misuli kuaminisha wengine kuwa hawapotezi sense zao kwaajili ya mapenzi but at the end hao watu ni wajinga sana katika mapenzi.
Kuweni huru kwenye mapenzi na kumpenda mwenzio kupita kiasi sio ubwege bali ni ushupavu maana huigizi zaidi ya kuuachilia moyo katika uhalisia wake..
Uandishi wako umekaa kike kike sanaNi mwanamke wangu tuliependana sana tukiwa chuo. She was extremely beautiful. Ila alikuwa anajisikia sana. She got a very big ego. Alinizingua sana tukiwa chuo nikaachana nae tukaja kukutana miaka mitano baada ya Mimi kumaliza chuo yeye alitangulia kwa mwaka mmoja tukaanza upya tena this time she was a single mother.
Mwanzoni alikuwa na nidhamu sana ila baada ya kujiridhisha kuwa bado nampenda kama zamani akaanza tena mideko yake.
Ni Raia wa nchi jirani so anaishi nchini kwao na mimi nchini kwetu. Normally huwa anakuja Bongo na Mimi naenda kwao.
Tumekua na on and off relationship for a very long time.
Na amesha ni block kama mara tatu ambazo hata hivyo alikuwa honestly.
Mwanzoni nilipost picha za baby mama wangu kumuwish a happy birthday. My baby mother is more beautiful than her but I love her the most kwa sababu kuna vitu anavyo sijaviona kwa mwanamke yoyote yule duniani. I cant even explain them. So her action was justifiable. Nikamuomba msamaha via email mwisho wa siku tukayamaliza tukaanza upya tena..
Akaja kuniblock tena kama mara 2 nyingine kwa sababu ya hasira na wivu na zote tulikuwa tukayamaliza baada ya muda fulani.
This time around ni kama vile she was done with me. Na sio kwamba nina mtreat vibaya la hasha ila tatizo lake ni anaamini sana katika intuitions zake. Maamuzi yake mengi dhidi yangu amekuwa akiyafanya just based on her intuitions. Kwa mfano kuna kipindi nilienda kisarawe vijijini huko nikakaa kama wiki moja hakukuwa na network na umeme shida and in addition to that simu yangu ikaharibika. So baada ya hizo siku saba niliporudi mjini nikakuta emails kibao ana complain anasema nipo na malaya zangu ndio maana nimemzimia simu, but before that nilimuandikia email kimuelezea what was going on. Kesho yake nikanunua simu mpya nikamtext akawa harespond nikawa najaribu kumuelewesha mwisho wa siku akaniblock. Nikahamia kwenye email kumplease..
Siku ulivyo kaa sawa akaniambia alikasirika sana namuona yeye kama mtoto kwamba kwanini namdanganya simu imeharibika wakati nawasiliana nae kwa email what am I hiding. Nikamjibu nilienda kwenye internet cafe sikutumia simu basi kidogo akaelewa.
Au anaweza kupost picha zake status, nisipomsifia inakuwa ni ishu kubwa sana au nisipo view anakasirika hadi ana ni block na anafanya hivyo bila kuniambia so nikija kugundua kwamba ameniblock nikamtext ndo anafunguka how comes nimeshindwa kuview status zake au kusifia..
Sasa hii mara ya mwisho kaniblock kama miezi miwili nikamtext email kibao akasema amechoka na vituko vyangu na ame move on na ananiombea na Mimi niweze ku move on. Nikamwambia kama umeamua hivyo sawa.
Wiki 3 zilizopita nilipatwa na intuition kwamba she need me to talk to her. She want to talk to me but she cant cause she has a very big ego. She need me start the conversation. ( Most of the time Mimi na yeye huwa tuna communicate through telephathy cause our bond was very deep. Yaani nikiwa namuwaza basi na yeye anakuwa ananiwaza kweli. It has happened so many times. So siku hiyo niliahisi pia may be she was praying for me to start a conversation with her or she was just deeply thinking about me and/or wishing me to talk to her.
Nikajifikiria zaidi ya mara 2 nikasita kumtext kwa sababu maneno yangu ya mwisho kwake yalikuwa ni " I will never disturb u with my emails again unless you allow me to do that" Niliwambia hivyo kwa sababu aliniambia nisimsumbue kumtumia emails zangu na kwamba Mungu amemuonyesha kwamba Mimi sio mume wake.
Juzi niliweka status yangu, wakati natazama who viewed my status nashangaa naona na yeye ameview. Naenda kutazama profiles zake nagundua namba yake moja ime ni unblock ila nyingine bado ime ni block.
Swali langu kwa wataalamu wa saikolojia ya wanawake na mahusiano.
WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Kwamba unachotaka kusikia ni kwamba mwamba kamvua nguo manzi kwa lazima kisha kaingiza dudu si ndio??Umekuja na id nyingine kutetea ujinga wako.