Uchaguzi 2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

Uchaguzi 2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.

Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya "uanaharakati" .

Lissu bado ame stuck kwenye phase ya "uanaharakati"

Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu.

Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urais, hell No! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.

Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.

Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.

Kura za huruma ya Watanzania kwa Lissu ziende kwa Nyalandu.
 
Watanzania hawalioni hilo wanachoangalia ni popularity kigezo ambacho lisu anacho 100%
lakin in other side lisu kweli hafit kwenye kugombea ngazi ya uraisi
Lakini hata Magufuli si alipewa nafasi kisa hana makando kando ya ufisado Kama wa Edo na Embe?
 
Wapiga kura wapenzi wa Chadema hawatawaelewa, ila kama kuna tatizo la Lissu kukataliwa na NEC.
 
Mbona jamaa huyu alipoingia alilipa visasi wale jamaa wa kituo cha mafuta mwanza? Siku moja alitoa kauli "kipindi kile nilikatazwa lakini sasa hivi hakuna wa kunikataza"
 
Tulia wewe cdm tushaamua yetu, na habari ziwafikie mataga wote kuwa baada ya October watakuwa chini ya uongozi makini wa Mh Lissu.

Hii hapa chini ni picha ambayo itatumika kwenye maofisi na sehemu zote zinazo hitajika kuwa na picha ya kiongozi wa nchi.

photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Hakika mkuu
Unajaribu kutumia nguvu nyingi sana kuunga unga dhana potofu.
Bahati mbaya sana CHADEMA hawana muda kufuatilia hizo blah blah zako.
CHADEMA huwa hawabahatishi.
Jibu lao utalijua muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom